Gurudumu uyasemayo ni kweli kweli kabisa lakini Mbunge pia kujitolea asilimia fulani ya mshahara wake ni MUHIMU ili kuonyesha kujali kwake mambo ya maendeleo vinginevyo kazi itakuwa ngumu sana kwani ujue hata wananchi wengine tutakaombwa kuchangia miradi pia tutato fedha kwenye...
Tungekuwa na Wabunge/viongozi wote Kama Mnyika hakika Tanzania Ingebadilika. Zidumu fifkra zako Mh. Mnyika, tunaomba wengine waige mfano wako. Sasa ni zama za kuchangia maendleo ya wananchi, zama za kuwaibia wananchi zimepitwa na wakati. Kwa mtindo huo kura kipindi kijacho tena ni kwako (endapo...
Sidhani kama tutafanikiwa kwa kujenga taifa lenye lenye kupoteza historia kwa kiasi hicho.... "No present without the past" na ndio maana hata kuna somo la historia, kujua tumetoka wapi, tuko wapi na tunaenda wapi. Nafikiri ni lazima tuwafundishe vijana na vyama vitoe elimu kwa umma wasipelekwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.