Hapo sasa uhuni wa serikali ya Jakaya ndo unapodhirika, watu wa Arusha ni waelewa wala hawadanganyiki na upuuzi wa ccm, Arusha shikilieni hapo hapo hadi kieleweke.
Ili tupate katiba nzuri yenye kukidhi matakwa ya watanzania walio wengi lazima tuwe tayari kutwangana maana ccm wanataka kutuburuza watuandikie katiba yenye kukidhi matakwa yao. Wapuuzi kweli hawa.
:disapointed:ccm walimtuma Tambwe Hiza kama kuzuga tu maana wanajua wanachotaka kukifanya katika katiba, hivyo hawakuwa na sababu ya kumtuma mtu makini.
Hii serikali ya ccm wanajiona wao ndo wenye haki zote katika nchi hii, kwamba wao ndo wanaweza kutupangia kila kitu. Sasa wamelifanya suala la katiba la kwao badala ya watanzania wote. Jamani watz tukatae huu ufedhuli tunaofanyiwa na serikali ya ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.