Search results

  1. pingli-nywee

    Kwanini Kenya wanauzalendo sana kwa nchi yao kuliko watanzania?

    Sasa hizo channel/radio unazosema ni za Kikikuyu zina tofauti gani na zile zinazotumia lugha za Kiingereza, Kijerumani au hata Kihispania?
  2. pingli-nywee

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Wako obsessed sana na wakenya hawa viumbe. Its not even funny anymore, they really need help. Most probably psychological health care.
  3. pingli-nywee

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Eti piga hesabu, utakuwa una utindio wa ubongo we kibwengo. Unadhani takwimu za meli na mizigo bandarini huwa zinafanywa kwa hesabu kama za BODMAS? Kwa taarifa yako bandari ya Mombasa ina berth 19, kwahivyo 'capacity' yake ni zaidi ya 150% ya bandari ya dar. Mizigo ambayo huwa inapita bandari...
  4. pingli-nywee

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Mbona hizi zako ndio propaganda? Meli ziliongezeka kwa asilimia 12%, bandarini Mombasa ndani ya mwezi mmoja tu wa Desemba. Kisa utepetevu na ngonjera ngonjera kwenye bandari zingine zote ukanda huu. 'Delays' kwasababu ya kuongezeka kwa meli zinazotia nanga Mombasa zilitegemewa. Hadi KPA wakatoa...
  5. pingli-nywee

    Adhabu za Kenya za Lori kuzidisha uzito ni kubwa mno, unaweza acha lori lako ukatokomea

    Kwahivyo miji ya Voi, Mombasa na Nairobi ni 'bush'? Unachekesha we kibwengo.
  6. pingli-nywee

    Adhabu za Kenya za Lori kuzidisha uzito ni kubwa mno, unaweza acha lori lako ukatokomea

    Eti barabara zenye viraka? Maeneo gani hayo ya Nairobi, Mombasa na Voi. Acha unafik, hujatia mguu wako ndani ya nchi ya Kenya wewe. Labda ulizuru Kenya kwenye ndoto.
  7. pingli-nywee

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Unaelewa umuhimu wa kuwa na 'National Carrier' inayoeleweka kwenye usafiri wa anga?
  8. pingli-nywee

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Tunajadili za KQ na biashara ya usafiri wa anga sista, sio kuringishiana kuhusu vitu vya kawaida. Kiamsha kinywa na vyakula, kwetu sisi ambao tunajaza tumbo na mahitaji mengine yote ya watu zaidi ya 5 kila siku ya wiki, mwaka nenda mwaka rudi, sio masuala ya kuzungumzia.
  9. pingli-nywee

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Tena sio chai ya rangi na mihogo ya sumu kama wewe. 😎
  10. pingli-nywee

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Mlimwagaje Ugali jombaa, wakati sie tulikiuwa tushamaliza kula(...na bado tunaendelea kula hadi sasa hivi)? Marufuku yenu ya kimagumashi ilikuwa ianze tarehe 22. Jana tarehe 16, na tayari mlikuwa mmeachia, hata kabla masaa 24 hayajapita tangia mtangaze maamuzi yenu.
  11. pingli-nywee

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Waeleze wenzako hadi waelewe mleta mada. KQ bab kubwa jombaa. 🇰🇪 Yaani wanadhani kupata 'route' zote hizi na vibali vya kutua kwenye miji yote hii, kote duniani ni rahisi kama kudensi dombolo au kwasakwasa? Proudly Kenyan! 🇰🇪
  12. pingli-nywee

    Inawezekana kweli Katiba mpya ni Kitabu tu, Kenya Rais wao amegoma Kabisa kuitii Mahakama na hawana la kumfanya!

    Nadhani wenzako hawa na watanzania walio wengi wanahitaji kuhamasishwa kwanza na kuelimishwa, kuhusu katiba. Ili wajue katiba ni nini haswa, kabla ya hatua zozote zingine. Maanake kama wakenya wangekuwa na fikra kama hizo. Enzi hizo walipoandika katiba mpya 2010, sijui kama tungetoboa. Jirani...
  13. pingli-nywee

    Inawezekana kweli Katiba mpya ni Kitabu tu, Kenya Rais wao amegoma Kabisa kuitii Mahakama na hawana la kumfanya!

    Mbona hatua zipo nyingi sana ambazo zinaweza zikachukuliwa? Dhidi ya rais ambaye anakiuka amri za mahakama au utawala wa sheria chini ya Katiba ya Kenya 2010? Au unazungumza kuhusu katiba ya Kenya nyingine na sio hii hii nchi yetu tunayoijua? Tena sio lazima hatua hizo zianzishwe na mhimili wa...
  14. pingli-nywee

    Mtalii kutoka Marekani aichana makavu Tanzania kwenye Luninga

    Eldoret Southern Bypass(U/C), Gatuzi la Uasin Gishu. Eldoret Town Nai. Freeway Interchange, Nairobi Southern Bypass
  15. pingli-nywee

    Tanzanian flag

    Real flag, very famous too. 😎 From 254...
  16. pingli-nywee

    Jinsi gani ya kuingia Kenya?

    Jombaa, waganda na warwanda wanaingia Kenya kwa kutumia vitambulisho vyao tu. Ila kwa watanzania ni marufuku. Hadi pale ambapo shughuli ya kuwapa watanzania wote vitambulisho vya taifa itakapokamilika na mkataba kati ya nchi hizo utiwe saini. Vitambulisho ndio vilikuwa kigezo kikubwa cha...
  17. pingli-nywee

    Jinsi gani ya kuingia Kenya?

    Mpango wote ulikuwa ni kwamba watanzania pia wangekuwa wanakubaliwa kuingia nchi za Ke, Ug, Rw kwa kutumia vitambulisho vyao tu na baadaye S.Sudan. Ila mkataba ulipotiwa saini bado Tanzania haikuwa imewapa raia wake vitambulisho vya taifa. Itaendelea kula kwenu, ukitilia maanani kwamba kwenye...
  18. pingli-nywee

    Jinsi gani ya kuingia Kenya?

    Kinachowaponza watanzania kwenye usafiri(kuhamia na kufanya kazi pia), ndani ya jumuiya ya A.M ni kitambulisho cha taifa. Mimi nimesafiri mara kwa mara nchini Rwanda na Uganda na kama mkenya huwa silazimiki kutumia pasipoti yangu. Kitambulisho cha taifa la Kenya huwa kinakubalika kwenye kila...
Back
Top Bottom