Kiongozi mzalendo na imara husikiliza anaowaongoza na kutoa uamuzi makini na wabusara. Kiongozi anayetaka kulazimishwa kusifiwa kana kwamba yeye hakuwahi kuwa fisadi alishushwa kutoka mbinguni hivyo kuwa tenda wenzake ambao pengine walikuwa wakishirikiana naye kabla hajapata cheo na kujifanya...
Wote wanaompinga raisi ni wauza madawa huhitaji kuhoji na kueleweshwa kwahiyo tupige kazi tu tuache kumkosoa raisi yeye yuko sasa mwenye kila kitu hahitaji kuambiwa wala kupangiwa.
Wazo zuri sana. Wabireshe Kiwanja vyetu vya ndege hususani Kilimanjaro ili watalii wote washuke kwetu na sio nchi jirani hapo ndipo slogan itakuwa na maana.
Inasikitisha sana japo kuwa gesi inazalishwa hapa hapa lakini tunaendelea kuumia sasa inafaida gani si bora tungeacha kuchimba ili wajukuu zetu waje kuchimba hiyo gesi kuliko huu uhuni unaoendelea.
Kwakuwa umetambua madhaifu haya basi usiichague UKAWA na kwakuwa nchi inaendeshwa na ILANI ya chama Tawala imewafanya UKAWA kushindwa kutekeleza majukumu yao hivyo kujiKuta ikiburuzwa na kulazimishwa kufuata ILANI ya chama Tawala.
Hivyo basi kwakuwa kumekuwa na mvutano wa kimaslahi kati ya...
Umeongea vizuri sana suala kubwa kuliko yote ni kuwa tumeshindwa kujenga uwezo wa kiuchumi kwa wazawa hivyo kuwaachia wawekezaji na watu binafsi kuendesha shughuli za madini.
Hakuna connection kati ya elimu yetu na shughuli za madini wasomi wetu wamebaki hawana pakushika hivyo inapotokea...
Niliona kwenye taarifa ya habari kuwa wafugaji hapo waliingia na mifugo kwenye mipaka ambayo sio yao hata hivyo DC alithibitisha kwamba mapigano na mayai hayo yalitokea ndani ya eneo la wafugaji .
Hapo ndio tatizo Kubwa lilipotokea kuwa kwanini polisi wawashambulie ndani ya eneo Lao na hivyo...
Kutokana Jf na wewe umo humu ndani ni sawa na kujichungulia vyeti zako alafu unajishangaa.
Simply usingie humu kama hutaki maudhi na tafuta majukwaa ya kupendezayo.
Siku zote binadamu tunajisahau tulipotoka hivyo nikipata tunawaona binadamu wengine hawana maana na hawafai ndicho kilichomkuta Makonda.
Sambamba na mkulu naye anapata adhabu kutokana na historia ya bwana Bashite.
Ugali moto mboga moto na najaribu kuwaza kwa sauti huwa nikipata kashikashi kidogo naomba ardhi ipasuke nizame. Sasa hili la Makonda ukiachilia yeye mwenyewe hakika kama haya mambo ni kweli yuko katika wakati mgumu sana .
Kinacho nsikitisha katika suala hili la ufisadi wa elimu Ni kwamba Mafisadi wenyewe wamepewa ring la kuhakiki vyeti Feki kwa hiyo zoezi hili kufanikiwa had kuona safari ndefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.