Jamani someni kuhusu tiba ya mkojo jaribuni kuelewa fuata masharti naamini ni njia sahihi mi nilipata matatizo ya mgogo yakapelekea ku palalazi tangu mwaka 2002, nilipona ila nikabaki na maumivu nikawa natembelea gongo, sasa nina mwezi mmoja nimeanza hii therapy, naendelea vizuri hadi wakati...
Wakati unaendelea kutumia hayo matibabu ya hosptali jaribu na tiba mbadala kwa kutumia mkojo wako mwenyewe, nenda kwenye google type URINE THERAPY utapata majibu yote ya maswali yako, mi nina matatizo ya viungo kwa muda mrefu, nimesoma , nikaelewa, nimeanza kutumia leo ni siku ya tatu kwa...
Wakati unaendelea kutumia hayo matibabu ya hosptali jaribu na tiba mbadala kwa kutumia mkojo wako mwenyewe, nenda kwenye google type URINE THERAPY utapata majibu yote ya maswali yako, mi nina matatizo ya viungo kwa muda mrefu, nimesoma , nikaelewa, nimeanza kutumia leo ni siku ya tatu kwa hiyo...
JAMANI NATAMANI NAMI NIZIPATE HAKIKA NITANUNUA NIMECHOKA NA UNENE USIOPUNGUA KWA KILA NINAVYO JITAHIDI, KWA MAWASILIANO ZAIDI EMAIL YANGU NI gearedconsult@gmail.com
nenda herbalworks iliyoko tabata karibu na kituo cha sanene ni wataalamu wa kutibu vidonda vya tumbo kwa msaada zaidi sikiliza kipindi cha radio free africa jumapili kuanzia mida ya saa tatu mpaka nne.
Nenda tabata karibu na kituo cha sanene, kuna kituo cha tiba mbadala kizuri kinaitwa HERBALWORKS, kwa jinsi ninavyosikia matangazo yake hakika kitakusaidia.
Chukua matembele yaoshe vizuri kisha twanga kamua juice yake, ipashe kidogo kuua vijidudu, ongeza chumvi kidogo then mpe kutwa mara tatu utapata matokeo mazuri
pole sana mimi ni mhanga wa hilo tatizo kwa zaidi ya miaka ishirini, nakumbuka miaka ya tisini nilipoanza kuumwa nilipatiwa dawa katika hospital ya kcmc moshi, nikapona lakini sio kivile, mpaka sasa natumia tiba mbadala ambazo zinanipa nafuu lakini sio kupona moja kwa moja, cha kukushauri wahi...
ndiyo ni biashara lakini ni tiba, kama anabisha mwache aendelee na hizo za gharama rahisi halafu aone usumbufu wake, mi niliwaona hata wataalamu wakubwa ikashindikana ila baada ya hizo product nimepona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.