Kaka si wote waliooa au kuolewa na watu waliowapenda kwa mara ya kwanza, ila kama unamke na una watoto naye ana mume na ana watoto, hata kama watoto hawapo maana watoto ni mibaraka , tafadhali sana usithubutu hata kujaribu kumuacha uliyenaye ukaoana na huyo ,maana kwenu siku zote mtaonekana...
Ahsantea sana wadau kwa hili, maana nitakufa kabla ya siku zangu ,yaani siku hiyo katimua akawa tayari ana mwingine mpya ,sasa nimeshindwa kweli kumuelewa kama walikuwa wote siku nyingi ama ndo anapunguza machungu huko,
Jamani mimi nilikuwa na rafiki yangu wa kike ,aliniacha kwa mara ya kwanza kwa madai kuwa nina tabia ya mfumo dume! hizi zilikuwa hazimridhishi katika mahusiano mpaka akafika hatua ya kumpata mshikaji mmoja, huyo naye hawakudumu wakakaa kama miezi 5 tu wakaachana ,baada ya hapo akampata...
Kweli e! hapa ni kutimua,maana kumbuka ya kwangu huwa anaishika tu akitaka kumpigia mama yake au dada zake ,lakini ya kwake mmm!hapa mmenifungua macho maana nitakufa kwa presha bure kwa kweli
Jamani wadau hii imekaaje katika mahusiano?Eti ukiwa na mpenzi wako(she) halafu kwa hali isiyo ya kawaida ikatokea maporomoko ya hapa na pale ,then yeye akaanza kukupiga mkwara usiiguse simu yake na akiwa home muda wote ameishikilia mkononi(yaani akiwa anapika,akiwa sebuleni ,mkiwa chumbani muda...
Tooooooooooobaaaaaaaaaaaaaaaaad,kweli asingeolewa nawe mpaka mnapata watoto wawili! siwezi amini ni maumbile,otherwise kweli kuna jamaa anayempa malavidavi ya juu kuliko unavyompa
Kaka Kumbe matukio haya yanafanana kwa baadhi ya watu , hata mimi yamenikuta , maelezo uliyoyatoa ndo hivyohivyo kwangu pia, kuwa upendo wake kwangu umekwisha, nikasema hata nikiomba msamaha hapa tukirudiana itakuwa utumwa maana ndo yaleyale twende tukaongee na mama au mjomba, nikasema tu you...
We wasema, maana hiyo source ndo iliyomweka, kosa lake ni lipi kwao, maana aliyekuwa akiwakera ndo huyo walimnyang'anya kijiti asikimbie tena ,wapi na wapi wamtoe waliyempa kijiti cha kukimbia
Mada zingine aisee ni noma! ongea tu mama yako endapo wewe huna dhambi kama hiyo ,ilakama unayo hafadhali tu uwe kimya,maana binadamu siku zote ana tabia ya mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mh! mchungu
Duh!,So wadau wa JF ,Lee Kuan Yew ndo atakayeongoza mchakato wa New World Order ama?,maana kwa ufahamu wangu nilijua ni Marekani ndo machampion wa hiyo New World Order,pale dunia inapoelekezwa kuwa na Serikali moja(mtawala mmoja ) na Dini Moja pia
Duh!ahsanteni sana wadau wa JF kwa michango yenu mizuri,hakika baada ya dhambi binadamu alijulishwa kuwa kifo ni hakika na kwa uhalisi wa mwanadamu hatuwezi zuia kifo kwani kwa imani ya kikristo kifo ni usingizi pale unaposubiria hukumu baada ya ufufuo,la msingi hapa ni unakufaje!ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.