Jaman tusimkatishe ndugu yetu tamaa kwa kumpa maneno makali, kaka nakushauri kamuone daktari kwan haya madawa ya uzazi wampango yasipo endana na homon zamtumiaji huwa yana madhara.
Naomba ushauri wako, nina tatizo la fungus kwenye makorodan, nimeshaenda hospital 3 nikitumia dawa zinapoa ila nikimaliza ugonjwa unarud, nimeenda kwa masai kanipa dawa nimetumia ikatulia kw muda dawa kuisha ugonjwa umerud tena, nikajaribu tiba ya vitunguu swaumu ambayo niliitoa humu jf lakin...
Habari zenu wakuu, samahan naomba msaada kwa wale wataalamu wa magonjwa haya ya ngozi.
wapendwa mdogo wangu ana fungus kwenye makorodan tumeenda hospital kairuk tuka pewa dawa, baada ya muda ugonjwa ukarud tukaenda hospital nyingine kama mbili wakatupa dawa za kupaka na kunywa but...
Mlio tumwa mnaonekana, hadanganyiki mtu kwa sela zenu zakuwapotosha wanamabadiliko, kama unamuona Lowassa hafai hatukulazimishi umpigie kura kwan tuliopo tunatosha, kaz mnayo tafuten mbinu nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.