Search results

  1. Lokissa

    Mwl. Mndeme: Wizi kwenye maduka ya nyama, Mwenge

    Mwl. Mndeme: Wizi kwenye maduka ya nyama, Mwenge sijui kama imeshaapostiwa humu,lakini unaweza kufaidika na yaliyomo humu ndani. Nimeitoa wavuti.com Kwa wale mnaokwenda bucha kununua nyama munaelewa ni kwa jinsi gani nyama imepanda bei. Kwa sisi tunaogetemea bucha za maeneo ya Mwenge, tangu...
  2. Lokissa

    Kwa elimu JK tumpe pongezi zake

    wadau kwa suala la elimu Jk tumpe hongera, kodi zetu na mikopo tunayodaiwa imefanya kazi kwa kiasi chake chuo kimejengwa na kodi zetu Pia nimpongeze kwa chuo cha mandela, alicheza penati nzuri chuo kile kikajengwa, World bank walitaka kutoa hizo fedha kupelekea pengine (Picha kwa hisani ya...
  3. Lokissa

    Mr Prezda na furaha ya kusafiri na ndege za wenzetu

    kwa mujibu wa wavuti.com JK anaonekana akitua uwanja wa JKIA kwa kutumia ndege ya Kenya airways kutokea Amsterdam..nauliza hivi hajifunzi kulifufua shirika letu? kama kenya wanaweza kurusha ndege kwenda HongKong,London, Amsterdam, India nk sisi tumelaaniwa? Tunajivunia siasa za chama wakati...
  4. Lokissa

    Tanzia: Nimempoteza baba mzazi leo mchana Muhimbili Hosp

    WanaJf kwa masikitiko makubwa nimempoteza baba mzazi leo mchana Mungu ampe punziko la milele. RIP Mzee Lokissa. Update baba yetu lokissa ataagwa kesho IJUMAA Muhimbili kanisa katoliki saa 9 mchana,kisha atasafirishwa Moshi kwa maziko jumamosi. kwa wale walio dar watakaokua na nafasi nawaombeni...
  5. Lokissa

    darasa la kisasa

    Picha kwa hisani ya wavuti.com madawati hadi serikali kuu itengeneze? halmashauri wanafanya nini? Picha hii imechukuliwa moro kwenye mbao za kumwaga kwanini wazazi na viongozi wa kila kata wasijitume kuyatengeneza? nakumbuka nkisoma moshi madawati yalikuwa mengi hadi stoo....
  6. Lokissa

    Tume ya Mipango, wanapanga nini?

    Wakuu nawasalimu kwa kuwatakia amani na mwisho mwema wa mwaka 2013. Tukiwa tunamaliza mwaka 2013 nimeona nije na mada inayohusu Tume ya Mipango na mipango yake. Ukisoma hapa utaona mapendekezo ya Mpango wa maendeleo ya Taifa mwaka...
  7. Lokissa

    Katika watu watakaoacha historia ya uongozi Tanzania ni Dr Slaa na Mbowe

    Hawa ni viongozi muhimu sijapata ona Ni pale tuu nilipokutana na mzungu mmoja anayetaka kuanzisha shule za chekechea Tz Huyu mzungu alinifurahisha sana kwa kusema laiti uongozi huu wa CDM ungelikuwepo madarakani kipindi hiki Amekaa Tz almost 9 years anasema upinzani anaouona Tz kwa sasa ni...
  8. Lokissa

    Wanafnzi wa vyuo vikuu mnajitamba kweli mnamsikiliza na kumfuta msaliti

    Wanafunzi wa vyuo vikuu inabidi tujitmbue Tusikubali kamwe kununuliwa na wasaliti hali iliyoko kwenye vyuo vikuu inatisha hakuna vitendea kazi vya kutosha wanafunzi wanashindwa kufanya mazoezi kwa vitendo kwa kukosa vifaa maabara wanafunzi wameshindwa kwenda viwandani kufanya mazoezi kwa...
  9. Lokissa

    Watanzania tnatakiwa tujitambue tuu maskini na wanonge mno Tusiwakubali wanasiasa wasaliti

    Watanzania wengi ni maskini sana na wanonge Umaskini huu umesababishwa na mafisadi wa ccm ccm ni chama kisichowapenda wananchi wake ccm imewahi sema wananchi wapigwe tuu hata kuwawa ccm imeficha hela zetu Swiss na kupelekea wananchi kuishi katika umaskini wa kutupa Watz tuamke tuungane...
  10. Lokissa

    Ufisadi, uuwaji wa tembo, utoroshwaji wa wanyama nje ya nchi, huduma mbaya, madawa ya kulevya

    Habari za jioni wakuu, Malumbano yanayoendelea sasa hivi katika siasa ni kwa sababu ya umaskini ulioletwa na maccm Watu hawana elimu maccm wamewafanya watu kuwa mambumbu kwa kuleta elimu feki Na hata walio na elimu wakizungumza kidogo wanaonekana ni wabaya wa serekali Watu wengi wanaoshinda...
  11. Lokissa

    'Seven of ten Tanzanians jobless, six live in slums'

    'Seven of ten Tanzanians jobless, six live in slums' By The guardian reporter 25th November 2013EmailPrint Margaret Nantongo Zziwa, East African Legislative Assembly (EALA) SpeakerSeven of ten Tanzanians are jobless and six live in informal settlements and the gap between the rich and poor is...
  12. Lokissa

    Revealed: TZ thieves have Sh315bn in Swiss banks

    Some corrupt Tanzanians, including prominent business tycoons and some top government officials, have secretly stashed away a whopping Sh315.5 billion ($196.87 million) in Swiss banks, The Guardian has learnt. The amount is a quarter of the amount Kenya’s tycoons and politicians have secretly...
  13. Lokissa

    Viongozi wa CCm wanaiba na kupelekea wanachi wake kuishi katika umasikini uliotukuka

    Wildlife Conservation Society of Tanzania’s links with national authorities were strengthened when Philemon Luhanjo took over as chairman and chief executive officer of WCST. Luhanjo is a close associate of Tanzania’s president Jakaya Kikwete, and was previously secretary general of the...
  14. Lokissa

    Watanzania tunaongoza kwa kununa duniani??

    Balozi wa Swaziland, Tanzania na balozi wa Botwasana. Picha inaongea mengi zaidi (kwa hisani ya Michuzi)
  15. Lokissa

    Vyoo UDSM ni vichafu hakuna maji Serekali tunawaomba msikie kilio cha wana vyuo hawa

    Wana vyuo wa udsm wamekuwa wakihangaika sana Wanapata usumbufu mkubwa sana wakutumia vyoo kwenye mabweni yao Vyoo hivyo ni vichafu hakuna mfano, hakuna maji harufu ndo usiseme Ivi serekali yetu inafanya nini hata maji kwenye sehemu nyeti kama hizi? Hawa wasomi wetu wako busy kuwaza mazingira ya...
  16. Lokissa

    Wapendwa wanawake, muwe makini sana na madaktari wa magonjwa ya wanawake

    Umofia kwenu, Leo katika kusoma magazeti ya Kenya nimekutana na topic tajwa. Kuna mtindo umezuka na upo madaktari wa Kitanzania na hasa wa kiafrika kupenda kuwazuia wanaombatana na wake zao wasiingie ofisini kwa daktari eti privacy. Hivi kuna kuna privacy ya ugonjwa kati ya mume na Mke...
  17. Lokissa

    Uvaaji wa suti

    Oneni wenyewe . kati ya hawa nani kavaa suti kadiri inavostahili? Angalieni namna ya ufungaji wa vifungo. Nijuavo kishikizo cha chini hakifungwi Update hebu tumwangalie JK akiwa Austria kipindi hiki cha autumn pasipo na baridi wala upepo sijui washauri wake hawakujua majira ya nchi husika...
  18. Lokissa

    Kuna haja ya wana Mtwara kulalamika maisha yao ni magumu hakuna mfano

    Angalia hapa From wavuti.com wavuti.com - Blog kweli maccm ni watu wa kuogopwa mafisaidi wametufikisha hapa tulipo
  19. Lokissa

    Kushindwa kwa CCM Arusha na kwingineko ni kwa sababu ya mambo 2 makubwa

    Wakuu heshima zenu Kushindwa kwa ccm ni kwa sababu ya mambo 2 makubwa Mosi: ni huduma mbovu kwa wananchi.Wananchi wamechoshwa na ccm maana ni chama kisicho wajali wananchi wakeChama kilichoua elimu, viwanda vijana wengi hawana kaziCCM inahakikisha hakuna hospitals nzuri ili biashara yao ya...
  20. Lokissa

    Laiti Obama angelijua unyanyasaji unaofanywa na CCM wakishirikiana na polisi

    Habari JF, Obama alipoulizwa swali kwa nini hakwenda Kenya alisema kwa sababu viongozi wa nchi hiyo wa juu wanashitakiwa kwenye mahakama ya kihalifu. Na kosa lao kubwa ni mauaji yaliyotokea hapo nyuma. Mimi nimejiuliza laiti Obama huyo huyo angelijua unyanyasaji unaofanywa Tanzania, ccm...
Back
Top Bottom