Search results

  1. T

    Lowassa adaiwa kuifadhili ACT-Tanzania; yeye, ACT wakanusha

    Umeijua chadema mwaka 2010 wakati mgombea wenu wa uraisi akiinadi ilani iliyoandikwa na dr kitila. Shida yenu hamthamini potentials za watu, wakiondoka mnabaki kutukana. Hamna mnachojua zaidi ya matusi, act ni habari nyingine imejaza watu wenye uwezo. Hamuoni aibu mnawazushia wao wanasonga mbele...
  2. T

    Lowassa adaiwa kuifadhili ACT-Tanzania; yeye, ACT wakanusha

    Hivi chama chenu wanazotaarifa za fedha zinazofanana na za wauza maandazi. Kijana badilika utafute ukweli. Zitto mlimzushia mambo mengi ya uongo kawapuuza lakini bado mnamfuatafuata. Siku utakapojua ukweli wahafidhina watakuwa wamekuoa
  3. T

    CCM na ACT- Tanzania wafanya tafrija ya pamoja Kigoma

    Nyinyi majungu na uzushi wao kazi tu, chadema chama kinachoongoza kwa uzushi, watanzania watakapoijua tabia yenu halisi itakuwa aibu.poleni wapika majungu. Act tanzania walikuwa na kikao cha halmashauri kuu wakati nyinyi mmejifungia kwenye kiwanda chenu cha uongo. Jengeni chama chenu waacheni act
  4. T

    Faida ya Siasa za Chuki na Fitna

    Pole ndugu, mtoa mada ameeleza vizuri sana, kwa jinsi usivyo na akili unajibu upuuzi. Hizo ndio siasa za chuki. Bethlehem kaandika vizuri sana na wala hajamtaja mtu. Acha kutumika
  5. T

    Tamko kutoka Kigoma kuhusu kuondoka kwa waliokuwa viongozi wa mkoa wa CHADEMA

    Molemo acha uongo, uzushi na upotoshaji. Katibu mkuu mwigamba yuko ziarani tabora na leo amepokea na kugawa kadi kwa katibu wa chadema mkoa wa tabora na viongozi waandamizi wa chadema mkoa , wilaya, majimbo na kata. Anawezaje kuwa morogoro wakati huohuo awe tabora. Acha uzandiki punguza...
  6. T

    Mwenyekiti wa CHADEMA jimbo la Kinondoni na mjumbe wa Baraza Kuu ahamia ACT

    Chadema kubalini chama kinateketea, leo mwenyekiti wa jimbo anaondoka mnajifariji, chukueni hatua jahazi linazama.
  7. T

    East Africa Should Let Tanzania Go...

    Yeah it will stay but on what ground? Tatizo cc wa-Tz tunajifanya tunajua, na mbaya sana tunapenda sana maisha ya sinema bila kufanya analysis ya kutosha na kujua kuwa watu wa sinema hawafi kama wanvyooneshwa ktk sinema hizo. Hakuna maelezo ya nguvu yanayo hitajika kujua kuwa muungano na nwatu...
  8. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    ACT - Tanzania ni chama cha mabadiliko na uwazi, inasikitisha kuona hata vitu vidogo vinasumbua kueleweka, kumbuka hakuna taasisi isiyokuwa na utaratibu. Mahesabu ya ACT - Tanzania hayatakuwa kwenye website tu kama unavyoshauri yatawekwa katika vyombo vyote ili mradi kila mtanzania alieko...
  9. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Sema unakwazika sio tunakwazika kumbuka generalizaton is faras. Naomba usikwazike, Ofisi za ACT - Tanzania zipo ubungo NHC, karibu sana pale ndipo zilipo nyaraka zote za chama, majibu ya maswali yako yapo wazi. kama unahitaji kujua kweli wakaribishwa na utajuzwa nani kachangia nini na nini...
  10. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Katibu mkuu wa chama chako alikuja chadema baada ya kushindwa kura za maoni CCm, Mbunge wako wa Arusha alikuja kwenye chama akitokea Tlp, Mwanasheria wa chama chako alitokea NCCR, Mbunge wako wa iringa alikuja kwenye chama chako akitokea tlp, kama kutoka chama kimoja kwenda kingine ni usaliti...
  11. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Ni aibu na fedheha kuhalalisha upuuzi kwa kuwa mpinzani wako anafanya upuuzi, kwakuwa CCM hawajajenga ofisi na nyinyi hamuoni umuhimu wa ofisi, kama ndivyo kwanini mnahangaika na CCM kama ndiye role model wenu. ACT - Tanzania sio chama cha majungu na ufitini, mmekuwa chama pekee mnaosifika...
  12. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Ndugu yangu nikweli mimi ni mjinga, lakini kwanini mnahangaika na hao marehemu. Marehemu wameshazikwa shida ya nini kiasi unakosa usingizi. Bwana Lwesye utajitambua siku utakapoziruhusu akili zako zifanye kazi kwa namna mungu alivyotaka zifanye, kwa utaratibu huu wa kuzipa akili zako likizo na...
  13. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Msaliti ni nani? shida kubwa tuliyonayo watanzania ni kuwaachia watu wengine wafikiri kwa niaba yetu. Hao waanzilishi wa ACT ni wasaliti na mnajua hawatafanikiwa kama ambavyo wengine hawajafanikiwa, kwanini msiwaache waendelee kuhangaika kwa kuwa hawatafanikiwa. Nini sababu ya kukosa usingizi...
  14. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Umejitoa ufahamu kuwa dokta Slaa ana kadi ya CCM mpaka sasa
  15. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    Uongo kusema kwamba mnahangaika na ACT - Tanzania badala ya kujenga chama chenu. ACT -Tanzania hawana sababu yoyote ya kuja kwako kukueleza wanafanya nini, ishi maisha yako acha na wengine waishi wanavyodhani inafaa cha msingi wasivunje sheria za nchi
  16. T

    ACT- Tanzania baada ya kupata usajili wa kudumu wamefungua matawi mangapi?

    ACT - Tanzania sio chama cha shoo, hawawezi kuweka bendera ili wakufurahishe wewe, ulipokuwa ukizunguka kutafuta bendera za ACT - Tanzania ulipandisha ngapi za chama chako. ACT - Tanzania sio chama cha mlipuko ni chama kinachoundwa na watanzania wenye utulivu wa fikra wanaofikiri kabla ya...
  17. T

    Salamu za ACT-Tanzania kwa vyama vyote vya siasa Nchini

    Watanzania na hasa chadema acheni uoga ACT - Tanzania ndo kwanza wanajipanga ili waanze kufanya siasa nyinyi mnaweweseka, jamani mnaogopa kitoto kichanga. Tuwasubiri waje kwenye jamii tuwahoji mbona tunaanza kuwasemea. Fanyeni siasa acheni uzushi na ufitini.
  18. T

    Zitto Kabwe: Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA

    Ni ngumu kuamini kama Mtanzania mwenye uwezo japo kidogo wa kufikiri, ACT imezaliwa mwaka huu pesa za Nssf na Tanapa kwenda kigoma all star zilitolewa mwaka uliopita, connection iko wapi. Joti anatangaza huduma za Tigo, kwa hiyo Tigo wakimlipa Joti ni ufisadi. huu ni umbumbu na umaamuma...
  19. T

    Mwigulu Nchemba - wananchi hawana imani na uteuzi wako/Asha Rose Migiro-anaonekana katumwa

    baraza jipya ni mshahara wa unafiki wa watanzania, kila mara tunaacha kuspoti tatizo kinafikinafiki eti mawaziri, oho mfumo, ohooo basi fujo tupu, tunajifanya hatuoni kuwa tatizo ni raisi. tuache kuwa madebe matupu kulalamika tu. hili baraza la mawaziri ni dharau ya waziwazi isiyohitaji elimu ya...
Back
Top Bottom