Pole sana mdogo wangu. Watu wengi hawaelewi tatizo lako, watu wengi wanaposikia mtu anataka kujiua humuona mjinga sana, lahasha!
Una tatizo linaitwa depression(msononeko), unatakiwa utatue kwanza hilo kabla ya kuendelea na kutafuta kazi.
Ni tatizo la akili, linasababishwa na stress kuvuka...
Mkuu Skadi, ni PM na mimi. Kuna kitu cha kujifunza hapo. Watu mnaopinga sisi kuiona hii video, kumbukeni hata waziri pia aliona kwanza ndio akatoa maamuzi, ingefichwa huyu dada angedhulumiwa.
Bintiii...Mtu akisema yeye anataka kuwa Rais kupitia chama chake ni Uroho wa Madaraka?? Au ndio M/Mungu wenu Slaa hana sub? Angalieni, siku huyu Mungu wenu akichukua nchi atabadili katiba atawale milele kama Museveni.
ikishindwa Chadema Mahakamani, kila mtu humu JF anasema Mahakama/Serikali ipo bias, wameionea. Basi inaposhinda Chadema, tusiishie tu kumpongeza aliyeshinda ila pia kuisifia Serikali/Mahakama kwa kutenga HAKI.
Ni hayo tu!
Angalia ulivyo na akili mbaya, sio kila anae comment hapa ametumwa! Kama nyinyi mmetumwa, sio kila mtu. Mimi nawakilisha mawazo yangu, na nikilala hutaniona tena had weekend..ninakazi za kufanya, silipwi kama wewe! Nimevutiwa tu na conversation ndo napotezea muda wangu!
Wewe unavojigaragaza hapa kumdefend sa8 ndo utaonekana na hekima...kama ndivyo basi wacha me nionekane mjinga..maana ni wazi umekomaa kumdefend sa8. Au hiyo ndio maana ya Hekima kwako!
shard=sa8 #msimamo
Umekesha siku 2 humu? poor u! sasa hapo unatuambia kuwa huna kazi nyingine ila ni hii ya kudefend upuuzi wenu. Ndo inakulipa? Sisi tunaojenga nchi hatuwezi tumia siku mbili kwenye JF..stupid!
Nashawishika shardcode=sa8!
NEMAsis, u are genious! hapo ndipo point nzima imelala, hizi threads za mamuya na sa8, wamezileta hadharani kwa maslahi ya chama au kuchafuana? Mwisho wa siku wamejenga au kubomoa? nitaendelea kupiga kelele kuwa walichokifanya wao ndio unafiki, haya mambo wangemaliza huko kamati kuu!
Mbumbumbu we! unadanganyika ka mtoto wa kike, Mnafiki will always be mnafiki! We unadhani huyu Ben ni mtoto mdogo? Soma maelezo yake utajua ni mtu hatari, anaonekana nimtu makini na anajua anachokifanya, kusema kuwa kajua kosa lake me nakataaa..Naona nimuendelezo tu wa mission yake..Hii ni...
Acha ushabiki wewe mama, unalipwa nini? Mbona huyo Ben alienzisha hicho PM7 humnyooshei kidole? Unaamini kuwa amekuwa msafi sasa hivi ndo kajitoa? Alianzisha kwa nia gani? Acheni unafiki, huyu dogo kwa maelezo niliyo yasoma nimeshamuweka kwenye kundi la wanafiki!
Mimi nashawishika kuwa hawa kina Saanane na Mamuya ni wanafiki kwasababu zifuatazo:
1: Haya mambo sensitive/nyeti/siri kwenye chama, kwann wayalete jamvini.. Kwan chadema hakuna kamati za nidhamu? Wanapokuja kuyaandika hapa mambo nyeti kama haya bila kujali madhara yake kwenye chama nashindwa...
weCTU matha-fanta...acha ujinga wewe, Mwakyembe ni aggressive, kwann kazi ilale?..we unafurahia kuona mirad inachukua ages kukamilika? Tazama wachina, project inakimbizwa iishe..!Badilika nyambafuuu! Halafu hayo mambo ya TRA yanaingiaje hapa? Kama hao kina Marystella rafiki zako nenda kawape...
na hili nalo wazo lako?
MICHUZI: Mwakyembe Azindua Treni ya Abiria ya Mwanza jijini dar leo
Hatupendi wanasiasa wanaopiga kelele, tunahitaj watu ambao wapo straight kama J. Makamba, Mwakyembe, Magufuli, Zitto...na sio wanasiasa kama huyu dogo, wanafanya watu wajinga..am pissed off!
myika acha kupenda sifa, upo pro-active sana kijana, una react sana baada ya kuona issue ipo HOT. be creative, anzisha vitu vyako na uvisimamie, eti lilikuwa wazo langu manina!!! njoo ujibu hoja watu wanakusibiri bwa-mdogo!
Kwa mtazamo wangu, Zanzibar imekuwa na waumini wengi wenye msimamo mkali wa DINI. Ambapo wanatamani DINI ndio ishike hatamu za kuitawala zanzibar, kwasasa ni ngumu sana vikundi vya kidini kuclaim utawala kutokana na Muungano, Tanganyika inaipiga backup zanzibar. Sasa basi, endapo Zanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.