Ndugu zanguni wana jukwaa poleni na mishughuliko ya mwanzo wa mwaka na hongereni kwa kuumaliza mwaka. Ndugu zanguni naomba ushauri, mtoto ana miezi tisa na mama ni mjamzito tena, je nifanyaje? mtoto akiachishwa kunyonya haitomuathiri kiakili na ukuaji? natanguliza shukrani zangu za dhati ndugu zangu
jaman wataalam nisaidieni mtoto wangu anawiki mbili lkn analia sana ananyonya kidogo anaendelea kulia, pia anakula vidole nisaidieni wengine wanasema maziwa ya mama labda mepesi hashibi sielewi huyu ni mwanetu wa kwanza plz niasaidieni
msaada jamani mke wangu anapungukukiwa damu akiwa na miez 3 alienda clinic alipimwa damu ilikuwa 11.4 na Ameenda tena aliambiwa damu imepungua tena na sasa sms miezi mitano na ameambiwa damu ni 9.9
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.