Search results

  1. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    Ndugu zanguni wana jukwaa poleni na mishughuliko ya mwanzo wa mwaka na hongereni kwa kuumaliza mwaka. Ndugu zanguni naomba ushauri, mtoto ana miezi tisa na mama ni mjamzito tena, je nifanyaje? mtoto akiachishwa kunyonya haitomuathiri kiakili na ukuaji? natanguliza shukrani zangu za dhati ndugu zangu
  2. M

    Napenda kufahamu mtoto wa anakiwa ale chakula cha aina gani?

    Ndugu zanguni naomba msaada wa miezi sita ni vyakula gani anatakiwa ale ili aweze kukua vizuri kimwili na akili. Natanguliza shukrani ndugu zangu
  3. M

    msaada haraka: mtoto analia sana akiwa anataka kucheua

    habari ndugu zangu, mwanangu anamwezi mmoja na wiki tatu. Shida ni kwamba analia sana akiwa anataka kucheua analia sana nifanyeje?
  4. M

    Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

    jaman wataalam nisaidieni mtoto wangu anawiki mbili lkn analia sana ananyonya kidogo anaendelea kulia, pia anakula vidole nisaidieni wengine wanasema maziwa ya mama labda mepesi hashibi sielewi huyu ni mwanetu wa kwanza plz niasaidieni
  5. M

    msaada: muda wa kuacha kufanya mapenzi na mama mjamzito?

    habari wataalam? je ni muda upi mama mjamzito inatakiwa apumzike kufanya mapenzi kabla ya kujifungua?
  6. M

    msaada: mama mjamzito kupungukiwa damu

    msaada jamani mke wangu anapungukukiwa damu akiwa na miez 3 alienda clinic alipimwa damu ilikuwa 11.4 na Ameenda tena aliambiwa damu imepungua tena na sasa sms miezi mitano na ameambiwa damu ni 9.9
Back
Top Bottom