Habari zenu wanajamvini,
Ninaomba msaada, nimenunua kiwanja maeneo ya Makongo Juu, sasa ninataka nianze ujenzi wa Ghorofa moja, chini kutakuwa na sitting room, dinning room, jiko, choo na chumba kimoja halafu juu kutakuwa na vyumba vitatu, kimoja master na toilet.
Naombeni ushauri wenu...
Habari zenu wapendwa jamani mie nimekuwa na wazo la kuanzisha gym, naombeni mawazo yenu maana sio mzoefu sana na mambo hayo ila naona ni business nzuri, tatizo nilitaka kujuaa ni upatikanaji wa vifaa, eneo la biashara hiyo na changamoto mbalimbali naomba michango yenu jamani, na hata mtaji...
Hivi unajua vyombo vyetu vya usalama inawezekana alitoa taarifa ila imefichwa achana na kufa, na labda alitishiwa kuuwawa, nahisi akaona bora afe peke yake maana wauwaji wakija wanaweza teketeza familia nzima bora afe pembe yake
Sasa wewe mbona haupo sawa, mara umsifie huyu magufuli mara na wewe ulalame vipi wewe? Haujijui ulipo ungekuwa unajijua ulipo usingeandika huu ----- wako hapa
Habari zenu wanajamvini, naombeni ushauri mwenzenu kila nikila kitu naenda kuharisha kuanzia jumatatu msaada jamani ni ugonjwa gani kabla sijaenda hospital
Habari zenu wanajamvini, majuzi nilitoa hela Tigo pesa 500,000 nkampa huyo rafiki yangu azihesabu coz nilikuwa nadrive zen achukue mkopo anaotaka maana aliniambia hana hela anataka nimkope, kwenye gari kulikuwa na dada mwingine sasa wakati yule shost anahesabu hela akanipa laki mbili yeye...
Naombeni msaada wenu mwanangu anamiezi saba sasa hivi akijisaidia haja kubwa yaani analia mpaka basi na choo chake ni kimugu mno.
Vyakula tunavyompa ni uji wa dona tunaweka chumvi siku nyingine sukari, viazi na ndizi pamoja na maziwa yangu na formula, majuzi nilimpeleka hospital dokta...
Msaada tafadhali toka nijifungua sasa ni miezi saba nilijifungua kwa operation, hivyo mazoezi ilikuwa ngumu kuanza kutokana na mshono, nilikuwa nataka kujua ni muda gani muafaka wa kufanya mazoezi ili niweze kupungua kama mjuavyo mtu ukiwa mzazi vyakula vile lazima ule ili mtoto apate maziwa ya...
Wakati nikiwepo ananyona maziwa yangu hayo ninayokamua nakuwa nimetoka kwa job maziwa yamejaa so mtoto anayonyaa huku ziwa jingine yanamwagika ukimbadilisha huku the same yanamwagika huku so napump maana yanamwagika acha yaani sipopump usiku ntajikuta mwili wote unamaziwa kitanda chote kimelowa...
Hapana ni maziwa tu tena mara nyingi na maziwa yangu ya kopo nimeweka incase siunajua barabara zetu hizi! bado sijamuanzishia chakula chochote, nashukuru kwa ushauri ntampeleka kwa mganga wa watoto
Habari wanajamvini natumai wote wazima, mtoto wangu wa miezi 5 anakaa siku 3 ndio anajisaidia aja kubwa naombeni msaada hii imeanza baada ya mie kuanza kazi sababu namkamulia maziwa yangu yakiisha kabla sijarudi nyumbani wanampa maziwa ya Kopo lactogen sasa sijui chanzo ni hicho msaada please.
Jamani hebu nenda kanisani ukaombewe maana maandiko yanasema hakuna linashindikana kwa Mungu nenda kwanza kanisani ukaombewe, mie kuna dada namfahamu yupo pale Ubungo KKKT, Nyuma ya Ubungo plaza anaona watu kila jumanne kuanzia saa tatu asubuhi hadi jioni anatakusaidi.
Habari wanajamvini,
Kuna rafiki yangu ananyama sehemu ya aja kubwa, je huu ni ugonjwa gani na unatibika maana yeye anasema ni ugonjwa wa kurithi maana baba yake anao, dada na kaka yake, majuzi hapa umemsumbua sana kaenda hospital tofauti tofauti anapewa dawa tu bila kupona je kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.