Mimi binafsi namshukuru sana Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania kutokana na yale yaliyojiri jana tarehe 8.3.2023 alipokuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa kina mama wa Chadema (BAWACHA).
1. Kwanza kabisa namshukuru sana kwa kusema HATA YEYE anasoma Jamii Forums. Hii ni tofauti...
Nadhani watu wengi hawaelewi ni kwa nini wapenzi wa mahubiri ya Mch Kimaro, na waumini wengi wa Kanisa lake la Kijitonyama WAMECHUKIZWA SANA NA KUSIMAMISHWA KWAKE.
Naowaomba wanaowalaumu wanaomtetea Kimaro waelewe yafuatayo:-
1. Hakuna Mkristo yeyote ambae haelewi kwamba kulingana na dhehebu...
Kiwanja cha mita 20 kwa 40 kinauzwa Olasiti Arusha. Kipo sehemu nzuri sana jirani kabisa na Sekondari ya Olasiti, jirani na Kanisa la Lutheran na jirani na Kanisa Katoliki. Pana umeme na maji. Barabara inafika mpaka getini kwako. Ni eneo ambalo nyumba zilizojengwa hapo zina hadhi ya juu tofauti...
Nakuombeni nyie mliobobea katika mambo ya sheria na katiba ya nchi yetu mfafanue hili jambo. Navyofahamu, spika anaweza kutoa amri kwa askari wa bunge wamkamate mbunge na kumtoa nje. Lakini je, spika anapotoa amri kwamba mbunge fulani akamatwe popote alipo nje ya bunge, hiyo amri anaielekeza...
Viwanja viwili vilivyoshikana vya mita 20 kwa 20 (yaani ni kiwanja kimoja cha 20 kwa 40) vinauzwa.
Viko sehemu nzuri sana Olasiti Arusha. Ni kama mita 700 tu kutoka barabara kuu inayotoka Olasiti kwenda mjini ambayo iko kwenye mpango wa kuwekwa lami na imeshawekwa murram.
Umeme na maji ya...
Nyumba self-contained (yenye choo cha ndani) inahitajika kuanzia tarehe mosi July. Iwe ya chumba kimoja na sebule, jiko na dining room (lakini hata vyumba viwili sio mbaya kama bei sio mbaya sana}. Iwe na parking ya gari, iwe na maji na umeme. Hata kama ni servants' quarters ni poa tu. Isiwe...
Hivi kweli, hapa nchini tunao wataalamu wa compyuta walio mahiri vya kutosha kuweza kuzuia uharibifu (hacking) katika ile mitambo ya kukusanya kodi ambayo Mhe Rais aliizindua siku chache zilizopita? Ni wiki iliyopita tu tulisoma kwenye vyombo vya habari namna ambavyo nchi zilizoendelea zenye...
Matamshi ya Mh. Waziri Angela Kairuki yamenichanganya mimi na naamini Watanzania wengi pia wameshituka. Ni kweli Katiba yetu inasema ili mtu awe kiongozi wa kisiasa analazimika tu kujua kusoma na kuandika lugha ya taifa. Kama ndivyo, mbona kuna mtu aliyekuwa mbunge wa kuchaguliwa lakini ubunge...
Wakati unapotokea ukame Watanzania wa dini zote wanamwomba Mungu na mvua inanyesha. Hali tuliyonayo sasa ni mbaya sana kuliko ukame mkali. Tunaelekea kuwa Tanzania ya kubaguana, chembechembe za ukabila zinaonekana, uonevu umeibuka na utu unaonyesha kutoweka. Kama utu haujatoweka kwa nini watu...
Nawashanga sana ninyi wadada. Unajua kabisa mtu ana mke wake lakini unakubali uwe nyumba ndogo yake. Kwako huyo mwanamume halali. Anamaliza mambo yake na kurudi kwa mkewe.
Usiniambie eti ni "ufundi' wake kwenye mavitus au anavyoku-handle maana ulimkubali kabla hujagundua alivyo. Tena walio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.