Ndugu angalieni tusiweke ukabila, kinachotakiwa ni kwamba elimu bure iwe kwa watanzania na si Kilimanjaro, kumbukeni kodi zote za watanzania zisaidie watanzania wote, Tukiungana pamoja twaweza daima.
Tuhimizane kuwa na maendeleo kwa wote maana watoto ni wetu sote, Kenya wameweza kwanini sisi...
Tanzania haina UDINI ila inawezekana baadhi wa viongozi ndio wanaoleta UDINI, na inawezekana wanaoimba kuwa wa Tanzania tusiingie kwenye udini ndio hao wanataka udini uanze kwa manufaa yao binafsi,
Watanzania tufunguke macho na tuamue nini tunataka, kwa miaka kadhaa tumekuwa na amani na uhuru...
Jamani, kumbukeni majukumu ya Majeshi yetu (Polisi, Magereza, Jeshi la wananchi n.k) kuhusu kutekwa kwa basi hilo ni jukumu la Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi wa Tanzania haliwezi kukurupuka na kwenda kuwasaka majambazi ambao Polisi wanaweza kuwamudu, chamsingi ni jeshi la polisi lijipange na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.