Mimi Niko wilayani Rombo hususan mnara wa Hakwe. Siku za nyuma internet ilikuwa nzuri sana lakini baada ya voda kuongeza mnara wa Ngoyoni imekuwa ya shida na ya kuoteaotea. Shida ni nini?
Mazishi ya baba yetu hayawezi kuwa vita ya kisiasa hata kidogo.Mh Selasini na Lamwai wana upeo mkubwa sana kwenye hizi shughuli za kijamii na ndio wanaoratibu suala lote la Msiba. Nawahakikishieni kuwa mazishi yatakuwa shwari na itifaki itazingatiwa mwanzo hadi mwisho. Naomba suala hili...
Labda kwa masahihisho kidogo ni kuwa Mh Selasini alikuwa anatokea Arusha kwenye Mazishi ya shemeji yake ambaye ni Padri Floridi Mahoo. Kwenye gari la Mbunge walikuwamo watu sita.
1.Mama mzazi wa Mh Mbunge - Amefariki
2. Mama mzazi wa Padre walioenda kumzika - amefariki
3.Shangazi wa mama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.