Pole sana rafiki,
Ulilopitia ni sehemu ya jaribu ambalo ulikuwa na uwezo wakulishinda.
Lakini hata sasa shukuru Mungu mana ingali sauti yake unaisikia kwa namna ya unavyopata majuto kwa dhambi ile.
Nikusihi tu,Dhamiria kwa dhati kabisa kufanya toba na maombi.Mungu wetu ni mwema wakati wote,Hata...
Sasa kwahiyo walikula Njama na wifi yake pia?Mana WiFi anasema alimpokea mtoto akiwa bado Binadamu lakini amekufa,Ila kufika kwa mama chumbani mama Ndio akagundua mtoto amefariki
Lazima Kiongozi awe na utofauti kidogo banaa !!!sasa unataka aendeshe gari sawa na yule mfanya Biashara wa Dodoma?
MKUU wa MKOA jina na Cheo kikubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.