BWANA MRISHO GAMBO UMEZUNGUMZA UONGO MKUBWA MBELE ZA MUNGU. HIVI WEWE UNAMFAHAMU SHETANI AU UNAMSIKIA.KWA TAARIFA YAKO SHETANI ANAKUCHEKA MAANA YUKO NDANI YAKO BILA WEWE KUJUA.YEYE NI BABA WA UONGO NA MAAJENTI WAKE NI WAONGO PIA.
NAFIKIRI HUJAWAHI KUINGIA KWENYE MAKANISA YA KAKOBE NDIO MAANA...
Ndugu yangu Augustino Chiwinga.Inaonekana hujui maandiko. Neno la MUNGU halitafusiriwi kama mtu apendavyo.Neno la Mungu ni ROHO tena ni uzima.Ninyi mnahangaika wakati RAIS wetu anaponywa kwa neno hili. MTU anayekuambia njia nzuri ni hii ifuate huyo ni mtu mzuri sana.NI MUNGU tu ambaye hatendi...
Ndugu yangu Paskali.Habari ya KAKOBE haiandikiki kwenye GAZETI.Impact yake umeiona kwenye mitandao ya Kijamii.Hivi kile kipindi chako cha KITI MOTO KILIKWISHAJE.Hebu tukumbushe.
WAZO LA UKAWA KUSUSIA UCHAGUZI KAMA DOSARI ZILIZOOONEKANA HAZITAREKEBISHWA LIMEKUJA KWA WAKATI MUAFAKA.VUGUVUGU LA KUDAI KATIBA MPYA NDIO LINAANZIA HAPO. KIPEPEO HAKITOKEI TU, LAZIMA KIWE NA MWANZO WAKE.
KAMA WEWE UMEONA HAWAKUTOA UAMUZI SAHIHI KWANINI UNAPIGA KELELE WAKATI HALINA MADHARA...
Kunguru Mjanja Hakuna cha maswali hapo. Uamuzi uliochukuliwa ni mzuri sana kwa mtu ambaye anaona mbali. Vyama hivi viko tayari kushiriki uchaguzi kama dosari zilizooneka zinarekebishwa. Kwa nini tume inakataa kurekebisha dosari hizo.
Tume inafahamu kwamba uchaguzi ukifanyika kwa huru na hadi...
N
NI KWELI KABISA CDM INAYOSUKWA ITAKUWA NI MOTO WA KUOTEA MBALI. ITAKUWA NI CDM AMBAYO ITAKUWA NI STRONG. HILO CCM WANALIJUA.NIMEGUNDUA ZAIDI YA WATANZANIA 6,000,000,000 CDM IPO NDANI YAO. WOTE WANAOHAMA WANAKWENDA KUTAFUTA UGALI BAADAYE WATARUDI KAMA WANACHAMA
Kwa sasa vyama vya upinzani vinapita katika TANURU la MOTO katika kutengenezwa kushika dola 2020.
Ushindi wa CDM kule Mbeya katikakati ya ngome ya CCM,CDM ilipata ushindi.Hapakuwa na vurugu yoyote ile na uchaguzi ulikuwa huru na wahaki. Tusipende kulazimisha vitu.Watu waachiwe kuchagua kile...
Hebu tujadiliane kuhusu nafasi za ubunge ambazo raisi bado hajafanya uteuzi.nakumbuka zimebaki nafasi 9 za ubunge ambazo uteuzi wake bado.. Kama raisi hatafanya uteuzi wa wabunge hao atakuwa ameokoa kiasi gani cha fedha ambazo wangelipwa wabunge hao na kuzipeleka katika kuhudumia hospitali zetu...
Wana Jamii Forum nauona mwisho wa CCM ndio umefikia tamati.CCM hawakujua kuwa kila,chenye mwanzo kina mwisho wake.Kama,ambavyo JK amehitimisha bunge jana hivyohivyo anakwenda na chama chake.Ishara moja ya dhahiri ni,hii ukimpitisha Lowasa chama kinagawanyika.Usipompitisha vilevile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.