Leo birthday ya Samia nenda kacheze Nate makirikiri umkumbushe kwamba laana ya kumbambikia kesi Mbowe kumtesa kumsweka ndani miezi sita itamfuata mgongongoni hadi kazi chake cha tatu roho yake ya kutu haitamsaidia kitu
Hakuna mahala popote toka kwa shahid yeyote message za telegram zikiandikwa au kuzungumzwa sasa ndio mwanzo urio kamezeshwa ushahidi anatema kama chura
Ni huyu magufuli ambaye hakutoa hata senti za mitambo kufanyiwa service huyu magufuli aliyeiba hela za watu kwenye akaunti zao na kuziweka kwenye mradi wa SGR ni huyu Magufulli aliyepora hera za mifuko ya hifadhi na kuwaacha wastaafu alishindwa kulipa mpaka leo ni huyu magufuli aliyeuwa...
Maadamu ameamuwa kuwa dictator zaidi ya mwenda zake tutasaidiwa kufupisha muda wake kama Mungu alivyosikia kilio chetu 2025 itakuwa vigumu kutoboa labda abadilike akishupaza shingo aanze kuaga tu Mungu hataniwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.