Sijui ni mimi tu au kuna wengine pia? Yani hawa kina dada huwa nashindwa kuwatofautisha yan, sauti ni zilezile kabisa, sijui wanaigana au ni mimi ndo nashindwa kuwatofautisha, hasa hawa, Felister kulujila, Neema ndeto, Beatrice Rabachi, Mwaipungu. Glory Robinson ni rahisi kumtofautisha ila hao...
Nilitaka kujua wadau kuhusu hawa jamaa wawili yaani KING GK kwa hapa bongo na NE-YO kule unyamwezini, hawa jamaa toka nianze kuwafahamu, iwe kwenye interviews au videos, au picha, sijawahi kuona wametoa kofia vichwani mwao, ni style kuna kasoro au shida nini? Mzee Mrema pia.
Kwema wakuu, samahani aisee, nilitaka kujua ni kwa nini Obama moja ya vitu vilivyomleta Kenya ni kuzungumza na wafanyabiashara, wawekezaji na wajasiriamali? Nadhani hata hapa kwetu Tanzania alifanya hivyo, kwa nini hili kundi na isiwe makundi mengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.