Wanaume wawili wakiwa na gari aina ya Prado wakamatwa huko Mombo wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga ,katika jaribio la kumtapeli mfanyabiashara kwa jina maarufu Sheshe ,wakijifanya ni maafisa wa TRA. Matapeli hao wanaoishi Tanga mjini mmoja anafahamika kwajina la Erastho Eliud akiwa na mwenzake...
Kenya wametuzidi kiuchumi .kidemocrac ki Elimu, hivyo ni rahisi kujua habari zao kuliko wao kujua habari zeta, sisi tunaijua America lakini wa America hawajui hata Tz iko bara gani
Wanafunzi St Joseph ni waliopata dv 4 ya pt 33 na walikua wanachukua degree hawa wa Udom ni form 4 walio faulu vizuri na walikua na sifa ya kwenda form v serekali ndio iliwashawishi kwenda Udom kusoma certificate pamoja na diploma ili kuziba pengo la walimu wa since
Tumaini wewe ni kilaza wala hujui unacho ongea Amani karume alichaguliwa kwenye uchaguzi halali na wa kisheria kwa mujibu wa katiba ya znz Sheni amewekwa na jeshi kwa uchaguzi batili
Wiki hii kidogo police wa kituo cha Mombo wilaya ya Korogwe Mkoa wa Tanga kidogo watoane roho,
Picha iko hivi, kuna polisi anaitwa Ernest (Mhutu) alipewa rushwa getini Askari Muhd akaona akataka mgao mgogoro ukaanzia hapo. Mambo yalivyozidi Mhutu akawasha gari lake kwenda kumgonga Muhd bahati...
Samweli Sita leo anaongozq bunge la Katiba kubadili kanuni za bunge ili hata kama mjumbe yuko nje ya nchi apige kura hii maana yake ni kwamba si lazima mjumbe ahudhurie vikao vya bunge anaweza kukaa nyumbani ana tuma sms ,
Epuka matapeli,
Kuna aina fulani ya wizi wakutumia simu una rindima hapa nchini.
Mtu ana kupigia simu akijidai ana kufahamu ana kupa dili ya biashara yenye faida kubwa ambayo ita kufanya uingiwe na tamaa mwisho wa siku una ibiwa wewe, hivyo epuka mtu usiemjua kufanya nae biashara yoyote kwa...
Huyo Hemedi Horohoro alishawahi kukamatwa Mbeya kwenye ile kesi ya mdawa ya kulevyia wakimkamua Maiti porini marehemu alifia Zambia akiwa na dawa tumboni,hadi leo haijulikani kesi ili ishia wapi,
Iddi Azani anajulikana ni mzee wa mapouda,
Huyo Hemedi Horohoro alishawahi kukamatwa Mbeya kwenye ile kesi ya mdawa ya kulevyia wakimkamua Maiti porini marehemu alifia Zambia akiwa na dawa tumboni,hadi leo haijulikani kesi ili ishia wapi,
Iddi Azani anajulikana ni mzee wa mapouda,
Siuondoke?una ng'ang'ania nini mahali hamkubaliani kimtazamo?Shibuda alivyo chukizwa na mambo ndani ya Ccm alijiondoa taratibu na kuhamia Cdm wewe unangoja nini ama hujatimiza agenda zako ulizotumwa na unao watumikia? Wewe hukuwa na uwezo wa kupata kura 32000 unazo jivunia mbozi ulibebwa na...
Kuna habari zime zagaa kuwa wahasibu wa halimashauri wa wilaya ya korogwe wana shikiliwa na police baada ya njama za kuiba tsh 78 million za halimashauri kugonga mwamba,
Mwenye taarifa sahihi atujuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.