Baada ya masaa 24 tu Baada ya kutembeza kichapo huko Syria Israel imepiga tena na kuharibu maghara ya silaha ya maadui zake na at least mtu mmoja kauwawa katika uwanja wa ndege mjini Homs.
Israeli strike hits airbase in Syria’s homs
File photo of missiles flying into the sky near Syria’s...
Jeshi la anga la Israel limefanya shambulizi la kulipa kisasi katika kambi ya Jeshi la Syria na inasemekana wanajeshi watatu wa Syria na wanajeshi wa kigeni zaidi ya saba wameuawa kambi hiyo yasemekana ilirusha makombora mawili kuelekea upande wa Israel ambapo kombora moja liliangukia upande wa...
Jeshi la anga la Syria limedai kuzuoa makombora yote yanayohisiwa kurushwa na ndege za Israel hapo Jana usiku.. Chombo cha habari cha syria Sana kiliripoti. Mashuhuda walisema wameona miale ya moto angani ikielekea mji Wa kiswah mingine ikiripuka angani... Israel haikuweza kutoa comments yoyote...
Katika maeneo ya parking za zamani za billicanas bills mkamua miwa kwa machine special amepatwa na janga kiganja chake cha mkono kuvutwa na kunasa kama pichani hapo inavyoonyesha.. tarehe 12th August 2017..
Tuwe makini na vijana tunaowaajiri sio kuwatoa shamba na kuwaleta town tu na kuwapa kazi...
Mida ya saa nane nimekuta ajali ya bus la Mwendokasi likiwa limemtandika pikipiki, dereva wa pikipiki alionekana mzima tu sijui alichomokaje pale, ilikuwa ni njia panda ya barabara ya morogoro na Bibi Titi Mohamed.. bahati nzuri hakuna majeruhi Bus limekwanguka bamba kidogo na vipande vidogo vya...
surprises president with Hebrew prayer
Job Daudi Masima, Tanzania's first ambassador to Israel, dons kippah, greets Israeli President Reuven Rivlin with Hebrew prayer.
Arutz Sheva Staff, 15/06/17 20:03
Video Player
00:02 | 00:44
President Reuven Rivlin welcomed four new diplomats to Israel...
Kwa Mara nyingine tena vyombo vya habari vya kiarabu vimesema milipuko mikubwa mitano ilitikisa jiji zima na miale mikubwa ya moto kuonekana kila kona ya mji mashuhuda wamasema waliona moto na vishindo vya sauti ya milipuko njia ya luelekea uwanja Wa ndege Wa kimataifa Wa Damascus majira ya...
Nimetizama news France 24 wakimuonesha Mtanzania akivishwa medal baada ya kushinda mbio huko India but sikufanikiwa kufahamu jina lake na mbio za umbali gani nimejaribu kugoogle sijapata mafanikio wadau wa mbio tukuzeni wabeba bendera wetu...
Kenya raha jamani tuache utani wapinzani wana raha wanaongea swafi hadi stress zao zinaisha wana sema Jubilee imeiba pesa kuliko serikali zote zilizowaji ongoza Kenya ufisadi wizi miradi hewa.
Gharama za rail mpya kutoka mombasa to Nairobi ni kubwa sana ambapo Morocco same amount wamejenga...
Nimekutana na gari zinakimbizana kwa speed Kali sana nimefika eneo la DTV kuna umati wakiwepo police Wa Bank yasemekana mwezi wakiwa na gari Toyota Carina wezi waliwaona wanawake nadhani ni Wa kifiripino wamevalia mavazi meupe wakashuka na kumpora mmoja wao kwa kuuvuta mkoba wake kwa kasi ya...
Ni wakati wa kwenda na hali;
Mrema vs Mkapa
Mbowe vs Mkapa
Slaa vs JK
Magufuli vs Lowassa
Comando vs Maalim
Karume vs Maalim
Karume vs Maalim
Maalim vs Shein
Si tunataka uhakiki wa kila kitu?
Jeshini kimya haswa matumizi yakifanyika haya nitaamini Mungu yupo. La sivyo tunaambiwa tuwaombee dua...
Jana nimetizama tv huko Liberia ni sawa na Tanzania idara ya afya imekuwa ikidharauliwa kimaslai ndio maana wagonjwa wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za kiafya na imesababisha sana kuenezwa kwa huu ugonjwa wa hatari. Raisi helen kaomba msamaha kwa idara nzima ya afya na kuahidi...
Tanzania hatuna udugu na palestina waarabu wanatambua hili sisi ndugu zetu ni Israel wametujengea soko la kariakoo, Chuo kikuu DSM, Walituanzishia Jeshi la kuleta uzalendo Jkt hivi vyote bado vipo na ni Nation icon. Na tunajivunia navyo.. wale wa boycot Israel waweke list na Tanzania...
Wana bodi naomba kuuliza hii Channel five eatv ni kwangu tu ndio inaonekana kama ipo slowmotion na sauti na picha haziendani yaani ni Mawenge sana je ni kwa wote? nakumbuka enzi za analojia ilikuwa poa sana hata ze comedy ilikuwa inaonekana fresh ila baada ya kuingia hizi decoder channel five...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.