Hasa vijana. Asubuhi hii saa 3 tayari mabishano yameshashamiri vijiweni timu ya Nani mbovu ya Nani nzuri. Serikali ndio maana inawekeza kwenye mpira kuwachota vijana wajinga.
Bado Akina Aziz na wenzie. Hii sio timu ya kuchezea ukiondoka wanakumaliza. Tunakoelekea wageni wataogopa kwenda. Anachokifanya Mayele ni kuwatahadharisha wachezaji WA nje. ' Jisajili Yanga at your own risk'.
Nimeona magari yanasombwa. Huko niliko tunalala kimachale. Mvua ikianza lazima uwe macho. Timu imefika robo fainali halafu inaitwa mbovu. Imemaintain miaka mitatu mfulilizo japo haijapanda lakini haijashuka. Hawa shabiki WA Yanga nikuwaignore Tu. Refa alietuheshimisha SA kapangwa kwenye mechi...
Wanadai Simba mbovu halafu wanahangaika nayo. Ndio maana kuna mchambuzi hivi karibuni amedai mashabiki wengi ni hohe hahe wanahamishia ugumu WA Maisha kwenye mpira. Siku baada ya mechi ya Simba au Yanga kuna watu wanaamka asubuhi kwenda vijiweni kubishana. Wiki ilipita walikuwa wanadai goli Lao...
Cha kushangaza eti Ahmed Ally akiongea nongwa Ila Ally Kamwe akibwabwaja ndio Sawa. Kwa wenye akili ule wote ni UJINGA na MWANZILISHI ni Manara. Tunakoelea watafanyiwa mizengwe wala wasiwe wananusa huko juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.