Haloooooooo!!! Mi mbea jamani!!
Ok iko hivi, dada yetu Shamsa ndoa imekua ndoano atelekezwa na Chidi Mapenzi. Inasemekana baada ya harusi tu Chidi akajiendea zake China kwa kisingizio cha biashara ila sio hivyo! Inasemekana ana mwanamke huko na hilo jimama ndo linamuweka Chidi mjini na Shamsa...
Hatimae urafiki wa Wema Sepetu na Munalove wafika ukingoni. Huko Instagram yazuka maneno mengi kuhusu Muna kumloga Tanzanian sweetheart ni pale Munalove alipoiba chupi ya Wema Sepetu na kuipeleka kwa mganga ndipo mganga alipotaka kafara ili kuroga huko kutimie.
Mnakumbuka ile mimba ya Munalove...
Habari zenu wakuu,
Leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana.
Njia ya kwanza:
Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na vua nguo zako za chini kuwa kama unafukiza uke wako. Hakikisha moshi ule unaingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.