Karibuni sana wanaharakati,wapiganaji naomba muwe waalimu kwa wanachi hasa mikoa masikini kuliko(Iringa(V),Dodoma,Singida ,Pwani,Morogoro,Lindi n.k Watu wanaona umasikini ni haki yao we need a great Change. Vijana amkeni. Ila nilisikitaka sana niliposikia Vijana wa UDOM wamechanga hela za...
Nina wasiwasi na wewe tene nahisi ni Mwl kutoka UDOM. Hivi hujui kuwa slaa ni PHD holder,he has a lot to du kwa wananchi masikini na makini. Hivi hujui hata Dakta(Si jui ya nini) JK anamuogopa huyu jaamaa ni kwasababu hi always read btn the lines. We unaesema ataenada kanisani kuwa padri u must...
Ulikuwa wapi wewe? ur a real great thinker.Angalia,Pwani, Iringa,Singida,Dodoma,Morogoro hii mikoa bwana watu wanauka umasikini ,mlo mmoja kwa siku elimu iko chini . Nawashangaa wabunge wao wanapita bila kupingwa,Kikwete anapita kwa zaidi ya asilimia 70. Labada watu wa mijini ndo wameanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.