Ndugu Kijakazi,
nimefurahishwa sana na maelezo yako kwa Dr. Slaa. Mimi kwangu lugha yangu ya kiswahili ni muhimu sana kuliko lugha nyingine yoyote hapa duniani, ninafahamu kiingereza na kijerumani vizuri sana, lakini lugha hizi nikizitamka bado hazikidhi furaha ya moyo wangu sababu ni kuwa...
Mimi kwa sasa naishi hapa Vienna Austria, kingereza wala sio issue hapa ni kijerumani, na hawa watu wanapenda lugha yao. Lugha ambayo ninaweza kujivuni mbele ya hawa watu ni Kiswahili tu na sio lugha nyingine, na mpaka sasa nimekwisha pata mwanafunzi mmoja ambaye anapenda kujifunza Kiswahili...
CCM ni lazima iondolewe madarakani na ni lazima ife, mambo haya yanatia hasira. Tutaona tu mbele ya safari maana nchi hii si yao peke yao ni yetu sote kila mmoja anahaki ya kuwa kiongozi, kila chama kina haki ya kuongoza nchi.
Ndiyo maana daima nawaza kuwa ccm ni lazima iondoke madarakani na ni lazima ife, tusifanyane wajinga kwa upumbavu huu wa kukiuka sheria za nchi kwa makusudi ya kubakia madarakani wakati wananchi wamekwisha wakataa.
Pamoja na hasira tulizonazo, Ebu soma habari hii ucheke kidogo na mambo ya TZ yalivyofika mbali:
Eti kuna mtu mmoja alikufa na kwasababu alikuwa na dhambi nyingi alifika moja kwa moja Jehanamu. Kufika kule akakuta kuna Jehanamu za nchi mbalimbali ambapo mtu unachagua ipi inamfaa kutumikia...
Mambo yalivyo ndani ya ccm kwa sasa, kwa yeyote yule anayeipenda nchi hii hawezi kamwe kukubali tena chama hiki kuendelea kuongoza nchi hii. CCM ni chama ambacho kwa sasa huwezi kukitenganisha na RUSHWA, UFISADI, UBINAFI, UZEMBE na UDINI.
Haya yote yameondoa kabisa moyo wa uzalendo kuanzia kwa...
Waswahili husema, mtu ukiwa hujashikwa na haja huoni thamani ya choo, ni sawa pia na mtu ukiwa huna matatizo ya afya huoni maana ya Hospitali na thamani ya daktari. Hawa wote wanaokebehi madaktari ngoja waugue ndiyo watajua nini maana ya hospitali kuwa na vifaa vya kutibu na nini maana ya...
Habari hii haikunifurahisha sana, kwani CDM imeniangusha mno kwa kushindwa kuchukua viti vyote hii inaelekea bado tunakazi kubwa ya kufanya. Makamanda tusife moyo tuongeze bidii kwani hakuna sababu ya kutoa nafasi kwa CCM kupata hata kiti kimoja: Peoplessssssssssssssssssssssssssss...
Ninaamini mpaka mwaka 2015 itakuwa ni chama pekee kinachoweza kuongaza nchi hii bila ubishi. Kasi wanayokwenda nayo inatia matumaini kwani ndiyo tumaini pekee lililobaki kwa sasa. CCM sio tumaini la wengi kwa sasa, labda kifanye maajabu kuweza kurudisha matumaini ya vijana na wasomi juu yake ama...
Ribosome hayo unayoyaona sasa yamechelewa sana yalitakiwa kuwepo miaka 10 au zaidi iliyopita. CCM haiwezi kujitetea kwa lolote kusababisha watanzania kuishi hivi walivyo sasa. Ubinafsi ndio umechelewesha haya yote, wizi na ufisadi ndio umechelewesha haya yote. Hakuna sababu ya sisi kuwa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.