Nimemefuatilia mara nyingi mijadala mbalimbali pia vyombo vya habari juu ya rais atakayechaguliwa mwaka 2015, watu wengi wanaposema juu ya rais atakaye chaguliwa kuingia Ikulu 2015 wanazungumzia wa kutoka upande mmoja tu wa ccm. Sijajua sababu nini , ama kwa sababu hao ndio waliotangaza nia...
Kwa kutambua kuwa humu kuna watu wanaojua sharia hizi vizuri, naomba maelekezo mazuri , sharia namba 45 ya mamlaka za miji inaelezea juu ya wajumbe wa baraza kuwa ni wenyeviti waliochagulia, wenyeviti wa viti maalum, madiwani wanaoteuliwa na mbunge
Swali ; wakati wa uchaguzi wa mweyeti wa...
Hii habari ni mbaya sana kwetu Watanzania, lakini pia ni fundisho kwetu tujisahihishe kujua ni wapi tunapokosea katika mikakati ya kukuza uchumi wetu. India imeweza kuuza Tanzanite yenye thamani ya Dola million 300 Kenya million 100 na Tanzania million 38.
Inakuwaje madini ambayo yanapatikana...
Naomba mtakao kerwa na hii post muwe wavumilivu
Mimi kama mtanzania ninayo haki ya msingi ya kuhoji ili kupata habari juu ya nchi yangu, Rais wetu ukisikia kasafiri ni nadra sana kusikia ameenda nje ya bara la Amerika, na nchi ambayo amekuwa mara nyingi akiitembelea ni Marekani.
Naamini kuwa...
Wadau ,
Huo ndo ukweli ulio wazi kuwa kwa mchakato ulivyovurugwa namna hii, Katiba mpya haitapatikana, Swali ni tuwafanyeje hawa ccm 2015
Kama yupo anyeamini katiba mpya itapatikana mwaka huu au mwakani tutasubiri sana. Sitta ameamua kujipa majukumu ya tume ya kukusanya maoni, mambo yanakwenda...
Napenda nililete hili kwenu mnaoweza kuchangia na kutoa maelezo ya kutosheleza.
Mimi binafsi napata taabu sana neno "Msomi au Wasomi" tunavyolitumia kwa hapa Tanzania, mara nyingi utasikia jumuiya ya wasomi wa chuo kikuu kwa maana ya wanafunzi wamepinga muundo wa serikali 3 au serikali 2 au 1...
Ukiachilia mbali utafiti ambao tumekuwa tukiusikia toka kwa watafiti mbalimbali wa mambo ya siasa wakieleza kuongezeka kwa umaarufu wa vyama vichache vya siasa huku ccm ikiporomoka. Nimeendelea kuona kuporomoka huko sasa kumeshika kasi kubwa.Baadhi sababu za kuporomoka zaweza kuwa zifuatazo;
1...
Mimi huo ndio mtazamo wangu juu ya chama hiki , sioni mikakati na ubunifu wowote unaofanywa kukinusuru chama hiki, Viongozi wake walisha kosa mbinu mbadala za kuijenga CCM imara badala yake wamekuwa ni mabingwa wa kutukana matusi na siasa za kulazimisha kuaminika kwa wananchi badala ya...
Tangu aliporidhia mchakato wa kuandikwa kwa Katiba Mpya ameonyesha kuwa na nia njema na Uzalendo katika suala hili. Ebu tujikumbushe baadhi ya maneno aliyowahi kuyatoa tangu mchakato huu uanze.
1. Aliwahi kuongea wakati wa kupokea rasimu ya kwanza ya katiba kuwa Tume imefanya kazi nzuri sana na...
Mimi naona ni kama huko tuendako kuna uwezekano mkubwa kama serikali tatu kulingana na matakwa ya wananchi itapita kutakuwa na utata katika muundo wa serikali
Rasimu Inapendekeza Muundo wa serikali tatu lakini haijapendekeza serikali ya mseto, naona kuna ugumu kwa chama kimoja kushinda nafasi...
Kichwa hicho hapo juu kinafaa sina namna ninavyoweza kueleza kwa kinachoendelea , watu wamejisahau wameshindwa kujua nguvu na siri kubwa ya Kimungu iliyoko kwenye uimbaji wa nyimbo za Injili. Wameamua kujichanganya na ulimwengu kabisa. Inasikitisha sana
Najua sio wote waliharibika lakini...
CCM mbona mnapenda kuchezea akili za watanzania, kama Zanzibar zaidi ya asilimia 60 walitaka muungano wa mkataba, mnafikiri hapo tena kuna muungano ?
Kuweni na shukurani kwa kazi iliyotukuka ya tume waliyoifanya kwa kuja na maoni ya wananchi waliopendekeza serikali 3 , masharti ya muungano wa...
Nahitaji msaada kufahamu vizuri, baada ya majadiliano kwenye kamati zote 12 juu ya sura ya 1 na 6, kwa rasimu iliyokuja na mapendekezo ya mundo wa serikali 3. Je Theluthi mbili au zaidi zilipatikana kukubaliana na mapendekezo ya tume ya mabadiliko ya katiba ?
Kwa anayejua vizuri atueleze ni...
Historia ya nchi hii iko wazi kuwa daima mawazo ya walio wachache katika kufanya mamuzi yanaheshimika;
1. Mwaka 1992 wengi walikataa mfumo wa vyama vingi nchini lakini kwa busara za mwasisi wa Taifa la Tanganyika Mwl. Julius Nyerere mawazo ya wachache yaliheshimiwa
2. Katika uchaguzi mkuu...
Tangu yamejulikana matokeo ya Jimbo la Kalenga , watu wengi wameongea mambo mengi ya kubeza juu ya CHADEMA ambacho ndicho chama kikuu cha upinzani, mimi nasema hapana kubeza ni kupotoka na kutokujua siasa.
Kwa tafsiri yangu ya kushinda uchaguzi naiangalia kwa namna tofauti kidogo , kuwa chama...
Mh. Dr. Slaa katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwa Iringa amesema wamebariki madiwani 2 walioomba kujiuzulu Shinyanga, hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli, madiwani hao moja ya sababu kubwa ya kujiuzulu ni kwamba wanamuunga mkono Mh. Zitto , Mh. Dr. Slaa amesema kuna taarifa pia...
Ni muda mrefu sasa vyama vya upinzani vimekuwa vikilalamika kwa jeshi la polisi na serikali kwa ujumla kuto chukua hatua juu ya vitendo vya kiharifu ambavyo vimekuwa vikifanywa na CCM katika chaguzi mbalimbali.
Sote ni mashahidi Mh. Nasari Monduli alipigwa karibu kuuwawa hakuna hatua...
Ukiipima kauli ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Mh. Godfrey Zambi aliyomuuliza Mh. Rais kuwa awaeleze kama muda wakampeni umeanza au laa ? Mh. Zambi alipokuwa akiuliza hilo fika najua anakubaliana na anachofanya Lowassa na anamkubali kuwa ndiye mgombea wanayemjua isipokuwa alikuwa anauliza tu...
Kufuatia yanayoendelea sasa ndani ya CCM, kwa mtu yeyote mwenye kujaliwa kuona mbali anaweza akahitimisha kuwa CCM sasa basi imekufa. Imekuwa ni vita ya Muda mrefu baina ya hawa watu wawili, Nape anamtuhumu Lowassa kuwa ni fisadi na sote tutakumbuka ile hoja aliyoianzisha ya kuvua gamba ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.