mimi haid sasa sijuwi ya kinachoendelea sina raha .. nani anaweza kunisaidia .... nini kinaendelea huko... sina shida na urais najua kura zitaibwa shida yangu ni ubunge wapinzani wamechukua viti vingapi..???? salamu zenu huku sisi baridi tu ndo sana... poleeni hasa wanyonge wenzangu lakini...
Swali lako ni la kitoto lakini kwa sababu ya demokrasia ruksa ... wewe unadhani atafanya nini ???
Popote tulipo katka dunia hii macho yetu tunayatega nyumbani nimeshangazwa lakini nilijua kuwa kuna siku mwenge utawaka huku ulaya mimi na wenzangu tumefarijika... its always ma wish na ninajua ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.