nI KWELI MIMI BINAFSI NAKUBAILIANA NA WEWE, WANANCHI TUKIWA NA MWAAMKO WA KUDAI KATIBA MPYA, HILO LITAWEZEKANA. BILA KATIBA MPYA , ITAKUWA VIGUMU KUIBADILISHA NCHI YETU.
It is true. Kwa Kikwete everthing is posible. Sisi tunaoelewa ubaya wa hawa watu, tusipofanya bidii ya kuwaelemisha ndugu zetu walioko vijijini ubaya huo, itakuwa vigumu kung'oa chama fisadi madarakani. Tuanze sasa kuhamasisha, ili 2015 Serikali itakayoundwa na CHADEMA iongoze nchi. Kwa pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.