Ninauza simu tajwa hapo juu iliyotumika kwa miezi 3 na wiki 2 tu na ninakuuzia pamoja na fast charger yake
Kwa bei ya tsh.950000 tu.
Wasiliana nami kwa simu namba.0756169666 na whatsapp pia kwa picha
Nipo mwanza..
mokojo wa punda
sehemu ya 1
ilikua ni asubuhi nikiwa bado nmelala kitandan
kwa mbaali nashtushwa na kelele za watu huko nje wakibishana,
nikaamka ili niwezejua nini kinaendelea mara nakutana na mama mlangoni
akihema sana hku akiwa na haraka kuingia ndani
akanishika mkono na kunirudisha chumbani...
hakuna kitu muhimu duniani kama "MUDA" ,ni wakati wa kwenda na muda JIPATIE SAA za thamani ya juu na za kisasa kanisa kwa bei nafuu
KWANZA:hazipauki
PILI: haziingiliwa maji, na zinakufanya uonekane mtu wa heshima mbele za watu.
BEI: TSH 30,000 TU
hakuna kitu muhimu duniani kama "MUDA" ,ni wakati wa kwenda na muda JIPATIE SAA za thamani ya juu na za kisasa kanisa kwa bei nafuu
KWANZA:hazipauki
PILI: haziingiliwa maji, na zinakufanya uonekane mtu wa heshima mbele za watu.
BEI: TSH 30,000 TU
napatikana mwanza
jipatie memory card zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu kabisa na upewe warrant ya miezi 12,
4gb-7,000
8gb-10,000
16gb-14,000
kwa wanaohitaji jumla na rejareja pia napatikana mwanza,mikoani utatumiwa
Wakuu,
Hata salamu sitoi kwa huzuni nilokua nayo,
Hivi kweli wazazi na watoto wadogo wa kike wamefkia hatua hii,! Iko hivi wakuu leo katka kutafta pahala walau nikapumzike nipunguze stress za maisha nikaamua kwenda sehemu moja mwanza inaitwa villa park,nikapark gari na kuingia ndani kupata...
Kichwa cha mada hii kinahusika,karibu ktk kikundi chetu cha vijana wenye nia ya kujiendeleza kiuchumi kwa pamoja kupitia miradi midogo midogo tutakayoianzisha kwa pamoja,kikao chetu cha kwanza kitafanyika tarh 20 mwez huu,yakupasa uwe unaishi mwanza na siyo wa kuhama hama mkoa ili kujiunga nasi...
Jipatie pikipiki aina ya SANLG ikiwa na muonekano mzuri kbs,imetumika miezi7 haidaiwi kwa bei ya tsh1.5 mil nipo mwanza.haijachomwa wala haina michubuko
Kutokana na mabishano yaliyokua yakiendelea humu juu ya kipi kinafaa kati ya dushelele ama kibamia, na hatima kuwa wenye vibamia hawana chao.hili ni suluhisho la wenye vibamia na wao waweza kua na muhogo wa uhakika kabisa.
Nilipokua shinyanga miaka ya 98 kulikua na miti aina ya madodoki kwa...
Heshima yenu nawapa, naimani mko salama nmejitokeza kwenu nikiwa na tatizo ambalo mwanzo nliona ni kawaida tu ila sasa limenizidia, nimekuwa nikiumwa sehemu nzima ya kisogo pale ninapoegemea ukuta, kiti cha mbao hata sponji, hata naposafiri siwezi kuegemea kabisa kwa kuhofia maumivu hayo, pia...
Salamu kwenu wana MMU,
Naombeni ushauri katika jambo hili,
Nilikua na mpenzi wangu tulipendaana sana na tulidumu kwa muda wa miez mi 5 tu.
Kisa kilianza hivi, alisafiri kwenda msibani na alikaa huko kwa muda wa wiki mbili mpaka nilipoanza kumkazania kua awahi kurudi maana nimemkumbuka.Alikua...
Wakuu heshima yenu, kutokana matatzo ya kifedha nmeamua kuuza simu niipendayo LG G3/D855 kwa bei ya 380, 000 tu sawa na bure.nmeitumia kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu.bdo ni mpya kabisa.hdd16gb, cpu 2.5ghz quad core, 2gb ram, camera 13mp ..alie tayari ani pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.