Maeneo mengi ambayo wameikumbatia ccm ndo masikini wa kutupa (situkani lakini ndo ukweli kwa kuwa mie pie natoka huko),igunga,singida, dom n.k,mtu akilishwa mkate na soda tu humuambii kitu kuhusu ccm,mtuvuna mlichopanda
Very correct great thinkers, Kibonde hopeless kweli nafikiri njaa inamsumbua vibaya.Hamna lolote la maana analolijua huyu jamaa, kwanza kipindi chake kinasikilizwa na mashosti zaidi ya watu wa kazi.Nafikiri asipojirekebisha wana JF tutammaliza kwa hoja na comments zilizoenda vitivo
Your very correct bro hii imenisababisha nisiangalie hata hizo tv station,kwa kuwa report ziko biased kweli.Njaa tu inawasumbua hawa halafu wamesahau kuwa huwezi kuizuia mvua kunyesha!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.