Search results

  1. K

    USAHIHI: Kilichotokea kati ya Juliana Shonza na Wabunge wa Upinzani kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma

    Dada kazi ya Siasa ni ubunifu na you have the long way, kumbuka wakati unaomba kura ulipiga magoti mbele hata ya watoto na najua unajua kwanini ulifanya vile!Jifunze kuheshimu wazee na kuwa mvumilivu, maana this will cost you dada, imagine unaenda kuomba kura 2020 halafu unapiga magoti...
  2. K

    Dodoma: Wabunge Ester Bulaya na Halima Mdee Wafungiwa Vikao vya Bunge kwa mwaka mzima

    Wasiwasi wangu ni kuwa Juliana Shonza alipata wapi muda wa kuandaa lile tamko?Na Kamati iliposema siku ya mwisho ya mkutano wa Tisa kuna nini?Wasiwasi ni lile tamko la Juliana limetoka wapi?au ndio motion
  3. K

    Benjamini Sitta wa CCM ashinda nafasi ya Meya Kinondoni, Wapinzani wakimbia

    We call it practice what you preach
  4. K

    Lipumba: CHADEMA wameshindwa Kinondoni kwa sababu ya ubinafsi

    Haya ni maneno ya Prof au kama ni maneno yake basi Mungu atusaidie
  5. K

    Benjamini Sitta wa CCM ashinda nafasi ya Meya Kinondoni, Wapinzani wakimbia

    Kawaida yako kusifia ila naona kwa aibu ya leo hata kusifia unaogopa
  6. K

    Benjamini Sitta wa CCM ashinda nafasi ya Meya Kinondoni, Wapinzani wakimbia

    Uchaguzi ulikuwa wa haki na ukweli au unafurahi uovu?hivi unakumbuka picha ya Zombi ile?
  7. K

    Rais Magufuli ajiondoe kwenye hili la kuhujumu Mameya wa upinzani

    Wanalia na nini au unataka wafanyaje?waandamane?
  8. K

    Wabunge wawili CHADEMA hatarini kufungiwa tena

    Haraka ya nini?Tulia kisha lete full story au ilimradi?
  9. K

    Edward Lowassa na Maalim Seif Shariff Hamad Wafanya Mazungumzo Hali ya Kisiasa Zanzibar

    Aya ghani mtume kasema salimianeni kwa kupeana mikono?
  10. K

    Edward Lowassa na Maalim Seif Shariff Hamad Wafanya Mazungumzo Hali ya Kisiasa Zanzibar

    Haaa haaaa kufanya nini sasa mkuu, hata watu wasisalimiane?
  11. K

    Padri Mapunda akosolewa vikali baada ya kumshukia Rais Magufuli

    Baba Paroko ametoa maoni yake na wewe unaweza kutoa pia, kama ni uongo si atafikishwa Mahakamani mzee
  12. K

    Padri Mapunda akosolewa vikali baada ya kumshukia Rais Magufuli

    Labda ungebadilisha kichwa cha habari na kuandika namkosoa aidha amekosolewa na nani wengine?
  13. K

    Kwa Mlinganisho huu wa Meli, Bandari ya Dar kuna giza nene

    Ubishi bwana ni mzuri , kwani Bandari wamesemaje?tumekosea tujirekebishe
  14. K

    Kama unataka kujua meli zinazoingia Bandarini Dar na Bandari shindani, angalia website hii

    Beira 16, Durban 65, Maputo 15 expected arrival 22, Zenji 1, Mtwara 2, Mombasa 29
  15. K

    Tetesi: Nipe nikupe, chagua kuendelea na UKUTA au ubaki na Bilicanas

    Kasage Sumu , wote mmekula aibu , mlijipanga kujikomba September Mosi na mlitegemea posho mbalimbali haya hakuna maandamano fanyeni Kazi sasa , maana wengine mmepata vyeo Kisa CDM
  16. K

    Propaganda ya kusema CHADEMA ni watu wa fujo sasa imekufa kifo cha mende

    Kama ulivyo wewe?saa yoyote unaeza kuuza
  17. K

    Yaliyojiri Kutoka Ufipa: Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari, maandamano ya UKUTA yaahirishwa

    Akili ndogo Bwana Umesikiliza na kusoma tamko?Yaani unataka kudanganya vitu viko wazi ,Rais wa TEC ni Nani?Mufti wa Tanzania na Zanzibar ni Nani?Au hauwajui na unamjua Diamond tu ?pole sana though
Back
Top Bottom