Dada kazi ya Siasa ni ubunifu na you have the long way, kumbuka wakati unaomba kura ulipiga magoti mbele hata ya watoto na najua unajua kwanini ulifanya vile!Jifunze kuheshimu wazee na kuwa mvumilivu, maana this will cost you dada, imagine unaenda kuomba kura 2020 halafu unapiga magoti...
Wasiwasi wangu ni kuwa Juliana Shonza alipata wapi muda wa kuandaa lile tamko?Na Kamati iliposema siku ya mwisho ya mkutano wa Tisa kuna nini?Wasiwasi ni lile tamko la Juliana limetoka wapi?au ndio motion
Kasage Sumu , wote mmekula aibu , mlijipanga kujikomba September Mosi na mlitegemea posho mbalimbali haya hakuna maandamano fanyeni Kazi sasa , maana wengine mmepata vyeo Kisa CDM
Akili ndogo Bwana Umesikiliza na kusoma tamko?Yaani unataka kudanganya vitu viko wazi ,Rais wa TEC ni Nani?Mufti wa Tanzania na Zanzibar ni Nani?Au hauwajui na unamjua Diamond tu ?pole sana though
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.