Siasa zetu za kibongo hizi ni shida sana. Yaani watu wanaona bado miezi tu uje uchaguzi mkuu wanaamsha habar za wabunge hewa.
wakiri msomi kibatara sijui kapotelea wapi naona kimya sana. Tangu mwenyekiti alambe asari sijamsikia tena..!!
Siasa zetu za kibongo hizi ni shida sana. Yaani watu wanaona bado miezi tu uje uchaguzi mkuu wanaamsha habar za wabunge hewa.
wakiri msomi kibatara sijui kapotelea wapi naona kimya sana. Tangu mwenyekiti alambe asari sijamsikia tena..!!
Mkuu mwashambwa, hivi ccm hawana cheo cha mwandishi wao?
Ningekua ninamaamuzi kwenye ccm ningekuteua uwe mwandishi wa ccm taifa. Maana naona unafaa sana kua mwandisi wa chama. Ni mwandishi mzuri sana hasa kwenye maneno yanayohusiana na wanachama .
Bidii ndio inabeba kilakitu. Bidii, welevu bila ya malengo vyote hivyo vimekufa.
Malengo ndio yananafanya bidii yako ionekane.
Malengo ndio yanafanya welevu wako uonekane.
Shuguli zote za binadamu hasa bishara ina mambo matatu. Kupata wateja, kupata faita na kukua
Kama unapata wateja hupati...
Nakumbuka kuna kambi moja ya jeshi chupuchupu kuhamishwa kupisha uwekezaji enzi za waziri.wa ulinzi
Alipoingia mabeyo na jiwe mpango ule ukazimwa.akawa amechelewa. Huyo mwamba anaubepari fulani.hata huko alipo wamuangalie lasivyo ataondoka na nusu ya kisiwa kimojawapo.
Hapa ndipo panatakiwa kufuma mfumo mpya wa kiutawala. Cheo cha makamu kisiwepo au kama kitakuwepo kisipewe nguvu ya kukaimu siku raisi akifa.
Badala yake waziri mkuu awe wa kuchaguliwa na wananchi.
Rais apunguziwe madalaka ili Rais akifa waziri atasimamia nchi kwa muda ili kupata raisi mpya.
Mleta mada amelenga hamii ya watu wapambanaji wasiotegemea kushwikwa mkono. Wewe unafikili kama hujamuandaa mtoto wako kiupambanaji atathubutu kwenda kua konda?
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.
Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha...
Mimi nilivyomuelewa waziri, watanzania wasivae hiyo jezi kwa siku ya mchezo huo kama mashabiki wa upande huo. Badala yake watanzania wapenda michezo wawe wazalendo na timu zao.
Wazee wananafasi kubwa kwenye vyama.kamavile kushauli nk.
Tatizo wazee wa vyama vyetu hivi walio wengi waganga wa kienyeji tu.wakiona kijana ana akili sana wanamloga wanahakikisha wanaweka watoto wao na wajukuuzao tu. Kwenye nafasi na tasisi muhimu.
Nasema hivi..yanga jana wamewasaidia azam kusonga mbele..sasa nyie shangilieni ila mbele yenu ni kugumu kuliko hao wenzenu yanga na azam. Mkijichanganya mnamaliza wa3 kwenye ligi.
Ila, mashabiki wa simba kweli ni mbumbumbu....hata hesabu mnashindwa kupiga?
Wakati mnashangilia yanga kufungwa, rudini mezani kuangalia mechi zenu zilizobaki na za wenzenu yanga na azam.
Kama hamjua yanga wanawaumiza nyie simba. Maana mmebakiwa na mechi zote ngumu.
Simba mkijichanganya...
Watu ambao hawana kazi waopenda kuhangaika na mipira, ni watu wapwani.
Hivyo wajenge uwanja chalinze, bagamoyo, morogoro. Na dodoma kwanza. Wakiongeza viwanja vya kuingia watu angalau 50, 000 kila kimoja.jumla vifikie viwanja 5.
Tanzania pana na miundombinu ya usafiri bado sana.
Kama serikali...
Watu ambao hawana kazi waopenda kuhangaika na mipira, ni watu wapwani.
Hivyo wajenge uwanja chalinze, bagamoyo, morogoro. Na dodoma kwanza. Wakiongeza viwanja vya kuingia watu angalau 50, 000 kila kimoja.jumla vifikie viwanja 5.
Tanzania pana na miundombinu ya usafiri bado sana.
Kama serikali...
Miaka 100 ijayo. Binadamu wataishi maisha gani sijui na watafananaje.
Maana nawaza hapa.nina watoto wa nane, nikifa nikiwaachia haka kashamba kangu ka heka 2. Maana yake watagawana roborobo. Na hao wakiwa na robo zao nao wakijichanganya wakizaa watoto wa nne Tu kila mmoja akifa watoto wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.