jamani mimi naona sasa wakati umefika wa watanzania kuandamana kumtaka huyu spika asiyejali maslahi ya wananchi aachie ngazi, maana anatakiwa ajue kuwa huku nje tunamuangalia na tunafahamu anachokifanya. bunge sio la chama ni la Tanzania, mimi ni mwanachama wa TANU nguzo zetu haziruhusu kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.