Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nimeanza naye mahusiano akiwa na miaka 19. Ilikuwa mwaka 2006 mwezi wa tano Waziri Mkuu wa nchi hii akiwa Lowassa. Nampenda na ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Na tayari nimemchumbia. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila...
Kinachofanyika sasa sio hakuna mwanaCCM wa Lumumba aliyezoea kula kiyoyozi na kula kwa ubua atakipenda. Sio Sera kabisa za CCM iliyozoeleka, ni Sera za upinzani zilizokuwa zikipingwa na wanaCCM na Kikwete. Lumumba sasa wananongona wanajuta na wengine wanasema walikosea. Anachokifanya magufuli ni...
Na-Paste Text yake...
Naombeni msaada wa ushauri ndugu zangu.
Mimi ni msichana na Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa. Nilifahamiana naye nikiwa form six na kuanzia wakati huo tukawa wapenzi. Ananipenda sana kuanzia mwanzo had sasa, sijawahi kumkuta hata na text ya binti yeyote...
Ni ukweli usiopingika. Tunamuombea kwa Mungu raisi aendelee na uchapakazi huu. Rais ametoka CCM lakini Sera za usawa, haki, umoja, kurudisha keki ya taifa kwa wananchi na kuwakamata watumishi walimbikiza Mali ni sera za Ukawa tangu bunge la katiba mpaka kwenye kampeni. Ni mixing nzuri na...
Polisi wamevamia kituo cha UKAWA cha kupokea na kujumlisha kura zote nchini na kuzima mitambo. Huku CCM wana kituo kama hicho kipo Mlimani city kimeachiwa kiendelee na kazi mpaka muda huu.
==========
Tanzania opposition says police raid tallying center after election
Tanzania's biggest...
Spencer Lameck yupo live kutoka Monduli.
Foleni ni kubwa na amesema anasubiriwa Lowassa atakuja kupiga kura kituoni hapo.
Yupo live muda huu.
Updates 1..
Tayari Lowassa ameshapiga kura akiambatana na mama Regina na amehojiwa na vituo mbali mbali vya habari ikiwemo mwandishi wa Al Jazeera...
Pamoja na nguvu kubwa ya mabasi ya UDA na coasters za kukodi nyingi kuzunguka jiji lote kukusanya watu lakini sijasikia jambo jipya pale zaidi ya ahadi amnazo miaka yote wanazirudia kwenye kampeni. Wazee wao wote walikuwepo ila mipasho tu ndio iloyogarimu pesa nyingo pale za wasanii na mabasi ya...
Leo Lowassa amefanya mikutano mitano. Mlimba, Ifakara, Mikumu/Ruaha, Chalinze na Kibaha. Pote Lowasaa ametikisa kwa nafuriko ya balaa kama iilivyo kawaida yake. Amehitimisha kampeni za mikoani na kesho atazizima jijini dsm kwa mkutano wa kihistoria ambao watu nusu milioni wanakadiriwa...
ITV wàpo live na Lowassa toka Ifakara muda huu. Ni balaa. Kesho mfuniko unadondoka dar kama kawaida yetu tunawapoteza majirani zetu
Updates..
Watu watano wamezimia kutokana na wingi wa watu huku upande wa mashariki. Watu ni wengi mno kupitiliza. Kwa upande wa magaribi nako hali sio nzuri vijana...
Mama Lowassa Jana alifanya mikutano mikubwa mwanza. Na mgombea wa urais wa ACT mama Anna Mghwira alikuwa na mkutano Mwanza viwanja vya furahisha.
Wanawake wote wawili baada ya mikutano yao walikutana usiku jana na kuongea kwa masaa mawili. Hongereni akina mama mnaojitambua.
Shirika la habari la Marekani la Voice Of America VOA kupitia kipindi chake cha Straight Talk to Africa limesema Mgombea wa UKAWA ndugu Edward Lowassa atashinda uchaguzi mkuu Tanzania kupitia tafiti zao za kitaalamu walizozifanya. Walikuwa katika kipindi cha saa moja ya uchambuzi wa uchaguzi wa...
Lowasa amejiwekea kibindoni kura milioni 6 za mikoa minne ambayo ni Dsm, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro ambapo hawasikii la mtu kwa Lowasaa. Kura milioni 5 za ushindi zitaongezwa na mikoa mingine ambayo watagawana na Magufuli..
Baada ya BBC kutangulia kuja Tanzania, sasa Yale mashirika makubwa ya utangazaji duniani ya CNN kutoka Atlanta Marekani na AlJazeera kutoka Jijini Doha Qatar yamewasili kuweka base ya kuripoti uchaguzi mkuu na kufanya interview na wagombea wa ngazi kubwa kubwa.
Sasa wale wagombea wa...
Leo magufuli ameangukia pua baada ya kukosa kabisa watu katika ziara zake jijini dar. Kigamboni amepata robot uwanja na temeke mwembeyanga kabisa ndio kapata aibu. Alifanya ziara bila wasanii. Wachambuzi wa siasa za CCM wamesema umuhimu wa wasanii dar ni muhimu mikutano ya CCM. Muda huu mabasi...
Hali inazidi kuwa mbaya kwa katibu wa itkadi na uenezi wa CCM anayegombea jimbo la Mtama. Hàli ya kukataliwa na mahudhurio hafifu ya mikutano yake na kuzomewa imemkosesha matumaini ya kuchukua jimbo.
Aliombwa na Magufuli kuambatana naye ziara ya DSM akamchomolea angalau abaki kuokoa hali...
Jaji mstaafu Damian Lubuva ameyasema hayo katika kongamano la majaji leo akiwa na Jaji Mkuu wa Tanzania. Amesema sheria inaruhusu wananchi kukaa mita 200 kutoka kituo cha kura
Chanzo: East Africa Radio
Haaaaa haaaa wakati mwingine inabidi kucheka ukiangalia hii picha ya kutengeneza ili kupata mafuriko. Hapo kuna pocha zaidi ya nne zimechanganywa ili kupata oicha moja ya kuonyesha wingi wa watu. Sasa kila kundi hapo ukiangaliabkwa umakini lina uelekeo wake. Sasa sijui jukwaa lipo upande gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.