Shule inasaidia sana, viongozi wa dini ya kikristo wana PHD, na matamko yao yanajenga UPENDO, MSHIKAMANO NA AMANI... Ushauri kwa sisi waislamu, tuwashawishi viongozi wetu wa dini waongeze elimu, wengi wao ni DARASA LA SABA.
CUF kimejaa viongozi wachumia tumbo, Chama katibu ana nguvu kimamlaka kuliko mwenyekiti!!!!....hamna tofauti kati ya HR, Osama [Seif], Lipumba, etc....Wote njaa kali.
Tahadhari, Rostam ndio kascore goli la ushindi, ila watu wanafurahi kama vile RACHEL ndio wamefungwa. Huu mkakati wa kuwavua gamba utaishia KUWASAFISHA mapacha 3. Kumbukeni maneno Rostam aliyomwambid Membe, watatumia mbinu zile zile [walizotumia 2005 kumuingiza kikwete madarakani], kuhakikisha...
Huyo jamaa hajawahi kukimbia ofisi. Kila siku yuko kazini kama mtumishi mwengine wa kawaida. Kwa sasa Mkurugenzi huyo yuko likizo, anamaliza tarehe 8/4/2011. Kahama ndiko alikoanzia kazi kama mchumi, na ndiko alikojenga mji wake. Hajawahi kukosa kazini hata siku moja.
Hao wanaoyakandia maandamano wanataka kuzuia ujumbe unaotolewa na makamanda wetu usitufikie. Kwa hiyo tusiingie kwenye mtego wao, TUWAPOTEZEE, tusilumbane nao na kupoteza muda wetu. Tufocus kwenye ujumbe unotolewa kwenye hayo maandamo.
"Ifike mahala tuache kutia nyongo kila jambo linalofanywa na watawala. Nimesoma kwa makini wasifu wa Jaji Mkuu mpya Othman Chande. Inajitokeza waziwazi kwamba huyu ni mtu mwenye wasifu na sifa za juu kabisa katika maswala ya sheria na mahakama. Ana uzoefu wa hali ya juu kitaifa na kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.