Dhuruma zimezidi, wazalendo tusimame imara, nguvu ya umma itumike, kusubiri miaka mingine mitano ni kutojua wajibu wetu kwa kizazi kijacho, tutaendelea hivi hadi lini??? Dr. Slaa tunasubiri tamko lako, umetufumbua macho, maovu mengi ya viongozi wetu tumeyaona na tunaendelea kushuhudia, nchi na...
Tusichezeane akili wana Jf, issue ni serious, mwenye data zaidi atuhabarishe. Pole sana mhe. Zitto, ila kama utaweza kutueleza kwa undani zaidi mwenendo na kiini hasa cha tukio hilo la kinyanyasaji lilikuwaje ni bora zaidi. :doh:
Masha, Diallo na Batilda jameeeni hii ndiyo demos [Watu] kratos [nguvu, power], kuendelea kung'ang'ania kubaki madarakani ni kujidharirisha na kuonyesha ni vipi hamna ufahamu wa mambo haya. watu wameamua na kuchangua viongozi wao, basi mkubali msaini ili yaisheeee!
Na huu ni mwanzo tu kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.