Josina Muthemba Machel binti mpambanaji, alikuwa na kansa ya ini na lastly aliugua akiwa Dar es Salaam akapelekwa hospitali ya Muhimbili na kufariki April 7, 1971 then akazikwa makaburi ya Kinondoni.
Car for sale with following details:
Price: Tsh 18 million
Make: Mitsubishi canter
Condition: Good running, it is on road.
Engine type: 4D32
Engine capacity: 3.6cc
Registered Tanzania: 2013 (plate number CKU)
Location: Dar es Salaam Tanzania
Serious buyer, please contact: +255 767 686 122
You...
Hapo RED, itakuwa kwako kila kitu ni tusi aisee; kula, kulala, kuimba, kusoma, kucheza, kuruka, kulima, kuomba, kusali, kutazama, kutembea, kunywa, kuandika etc etc.
Hebu angalia tena ulikuwa unamaanisha nini, otherwise umekurupuka.
Yanayotokea S. Sudan yananifanya nikumbuke moja ya speech mashuhuri ya Mwl. J. K Nyerere kuhusu muungano "
...hakuna Zanzibar nje ya muungano, nje ya muungano kuna sisi Waunguja na wao Wapemba...". Jamaa walivyojiengua Sudan sasa wamekuja gundua wao si Wa South Sudan, bali kila upande una kabila...
Watu hawahuzuniki bali wanasherehekea maisha ya Mzee Mandela. Its time to learn and celebrate life of "one and the only one" Nelson Mandela. The world will never see again the likes of Mandela thats why people are celebrating.
Katika hali ya kawaida na pia in finance theories, bond ndio biashara regarded km yenye risk ndogo kabisa ukilinganisha na biashara zingine, ila kwa kuweka bond kiinua mgongo ni kutafuta unnecessary flustrations na kuyakaribisha mapema magonjwa ya uzeeni especially kwa style ya uendeshaji wa...
Tatizo la watanzania wengi tupo very smart wakati wa kuomba mikopo, maneno mengi na kauli nzuri sana ila tukishapata tunatokomea kabisa, simu hazipokelewi, meseji hazijibiwi na hatuonekaniki tena, na hili ndio tatizo linalofanya watu kuwa wagumu sana katika kukopesha na ni tatizo kubwa katika...
Habari ndio hiyo, kila kitu unalipia ndani ya ndege, soda 3,500, korosho 3,000 bia 5,000 etc. Hiyo nauli ya elfu 32 hata usiifikirie kabisa, nauli zao ni very in consistence na ukipata any excuse ya kuahirisha safari ndio utajuta wana makato makubwa. Kama pia unafikiria kurudi na samaki Dar ndio...
Vyovyote utakavyoweza kuiita ila wao wameita dodoso, sasa sijui kiingereza chake km ni questionnaire au ni observation sheet, ila fahamu kuwa hilo dodoso anakuwa nalo yeye na anapokuuliza anajaza yeye, not like common questionnaires ambazo unapewa, unasoma maswali then unajibu na kujaza...
Maswali mengine yaliyopo kwenye dodoso yanahitaji just observartion ya karani na si lazima akuulize vitu vyote. Kwa mfano, kujua nyumba imeezekwa bati au nyasi or kujua kama nyumba yako ina umeme au haina, kujua unapata huduma ya maji safi au la si lazima akuulize, akifika tu nyumbani kwako...
Kuna mambo mengine ni basic unaposhindwa kuelewa inaleta mashaka, unless uwe umeamua kuwa mbishi. Wewe usiye sound naive na stupid, zilete hizo arguments then tuzipime. Everyone knows via search engines unapata a lot of info, but for your benefit sio kila kinachopatikana via ur keyboard kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.