oooooh, eti unawaza kamali tu. kwani tatizo liko wapi. nyie si mna uhakika mnachukua nchi. weka milioni mezani. wote mbio kama kila mtu na lwake kama ndege waliokurupushwa kwa jiwe
Ukawa wana mbwembwe sana. Wanajifanya wana uhakika kwamba wanachukua nchi. Lakini ukiwaambia TUBETI kila mtu atoe milioni milioni wote wanaingia mitini
Na Saed Kubenea - Imechapwa 30 March 2011
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya mkataba tata wa Richmond, Edward Lowassa ameelezwa kuwa na mradi wa karibu Sh. 8 bilioni wa kujisafisha na kumwingiza ikulu.
Lowassa alipoulizwa na gazeti hili kuhusu mradi huo, alijibu kwa mkato, Mimi sijui....
Binadamu kukosea ni kawaida. List of Shame imepungukiwa na mtu mmoja. Imekatwa. CHADEMA wameikata List of Shame. Wamebaki kumi kutoka kumi na moja.
Sasa CDM watueleze, mpaka kufikia hivi sasa, waliomsingizia ufisadi ni Lowassa tu. Au kwa kuwa ni mgombea wao wa Urais. What a coincidence...
tusipokee mambo kirahisi. tujiulize mara nyingi tena na tena.
suppose hii email imeandikwa makusudi na nchimbi na mwigulu katika kanpeni ya kumchafua zitto. hili nalo linawezekana jamani.
natahadharisha tu. tuwe makini. kwenye siasa kuna michezo michafu sana.
hilo ndio tatizo lenu. badala ya kujadili hoja mnakimbilia hoja nyepesi! kwamba ukitofautiana na mbowe tu basi ushakuwa magamba.
jibu hoja hapa. hoja yangu ni kwamba zitto ni msaliti katika chama lakini pia waraka wa akina zitto una contents kuhusu udhaifu wa uongozi wetu.
uamuzi wa...
Zitto kwa kutumia njia za siri ameikosea CDM, lakini kilichoandikwa kwenye waraka pia kina ukweli juu ya udhaifu wa uongozi wa Mbowe na Dk.Slaa.
Hivyo ningepewa nafasi ya kufanya maamuzi kwa maslahi ya chama, ningewang'oa wote, Zitto na watu wake kwa upande mmoja na Mbowe&Dk. Slaa.
Tuhuma ya Zitto kutumiwa na CCM iliyotoka wiki kadhaa zilizopita ilikuwa nzito sana. ilikuwa na data ambazo huwezi kuzitunga bila kubainika kama unadanganya. Pia kwa mtuhumiwa huwezi hata kujitetea. Ndio maana Zitto hajawahi kutoa utetezi unaofuta na unaolingana na uzito wa tuhuma hizo...
Binafsi sijaona tatizo kwenye ule waraka. Ni watu wanaojipanga kuchukua madaraka dhidi ya uongozi wenye viashiria vya ung'ang'anizi wa madaraka.
Wametengeneza mkakati wao wa siri badaye umevuja. Viongozi wa cdm wame over react pengine kwa hofu ya kupoteza madaraka hasa wakiangalia jinsi...
Huo uhasibu mwenzetu uliusomea wapi? kwani hujui kuwa Owners Equity ni liability kwa business? Refer Business Entity principle. Kwa ujumla Assety=Liability.
Wanaume wengi sex ya nyumbani huiona kama bughudha, wanaifanya kutekeleza majukumu yao kama MME, lakini sex iliyo tamu ni ya nje. Hivyo ukimnyima unyumba ni kama unamsaidia, manake anakamua nje halafu akija nyumbani hadaiwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.