History hii inafunza kitu kama utakuwa umeielewa ni bora nusu shali kuliko shali kamili siku zote matatizo binadam ujitakia wenyewe uwezi kuwa unanipa maziwa lita 2 mara ghafla ukasema kuanzia sasa utapata nusu lita kufanya hivyo ni kutaka kudho ofisha afya yangu siwezi kukubali kabisa lazima...
Mkuu maelezo yako tayari yanaonyesha kuwa ushafanyiwa hivyo na ukajisikia raha pole sanaa nimetambua una umama ndani yako sababu ujatafautiana na mke wangu ki fikra
Wewe hardcore sio ujiangalii kwenye kioo? Au mpaka uwe saloon unanyolewa ndio unajiangalia? Hahaha swali dogo tu ila jibu lako limenipa tafsiri ya elimu yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.