Maisha ni kujipanga na kujipanga ni kuamua! Hakuna formula ya maisha, ndio maana wakati mwingine maisha ni bahati ya mtu. Unaweza kuanza kwa kujenga halafu vingine vikafata au ukaanza na gari halafu nyumba ikafata, whichever is excellence!
Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo...
Swala la ndoa ninaliamini katika misingi mikuu miwili;
1. Mke/mume bora hutoka kwa Mungu
Hivyo sisi binadamu tunatekeleza yale yaliyopangwa na Mungu
2. Mfahamu mume/mke wako vizuri kabla ya ndoa
Ni swala la muhimu kumfahamu mume/mke wako vizuri kabla ya kufikia maamuzi ya kuishi na mtu wako...
Kwa kawaida, once you contest to any election, it means you are ready to win or to lose. Nadhani Dr. Batilda akubali ukweli kwani siasa sio mwisho wa maisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.