Search results

  1. M

    Mbona kama tatizo la wateja katika benki kupata noti pungufu wanapotoa hela linaota mizizi?

    Benki zote zinasisitiza mambo uaminifu kwa wateja. Sasa kama mteja nae anawaficha hao watu ama benk ni tatizo. Ungeenda kuripoti hata kwa meneja wa tawi ama kiongozi yeyote hapo walishughulikie kwa ndani. Olu ini olu pole sana.
  2. M

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    70kg, kawaida sana ukizingatia anamazoezi. Au mnasemaje wabeba matukunyema😀
  3. M

    Maadhimisho ya miaka 60 ya muungano na idadi ndogo ya mahudhurio uwanjani, nini tatizo?

    Pamoja na kuwepo mvua kubwa RC Chalamila ajipime. Haya ni majukumu yake kuhakikisha sherehe zinafana mkoani kwake. Asilete janja janja.
  4. M

    Serikali msizime mitambo ya kuzalisha umeme

    Hujatoa maelezo
  5. M

    Serikali msizime mitambo ya kuzalisha umeme

    Hivi kwenye mambo ya nishati huku demand and supply haihusiana kwenye kuleta bei?
  6. M

    Polisi hawamtafuti tena aliyemuua Mushi, bali wanatafuta wanaosema Mushi ameuawa

    Ajali gani dunia nzima haijashuhudia. Hakuna gata sisimizi anayema alishuhudia ajali. Mtu ametangazwa anatafutwa hadi wiki baadae ndo anapatikana. Tena ukisikiliza maelezo ya polisi ndo unachoka zaidi. Kwa nini iwe huyu tu? Smelling uovu hapa either party.
  7. M

    Prof. Janabi: Kama Mwanaume unavaa Suruali zaidi ya Size 40 na Mwanamke size 35 Afya yako iko hatarini

    Urefu na ufupi sio ugonjwa. Shida huko kwingine kwa size ya mwili. Waswahili walishasema hili.
  8. M

    Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

    Simu zinahusiana vipi na kesi za uchochezi? Naomba kueleweshwa hapo.
  9. M

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Wewe ni Ke ama Me?
  10. M

    Hali ya Mvua April 2024: Eneo ulipo hali ikoje? Tupeane updates kuhusu Mafuriko | Hali ya Barabara | Maafa kutoka eneo ulipo

    Wasalam, Tupeane update hapa hali na madhara ya mvua hizi zinazosemwa kuwa ni elnino huko ulipo. Madhara yameendelea kuwa makubwa sehemu tofauti nchini, kuanzia mikoa ya ukanda wa bahari ya hindi, kaskazini n.k Vifo vya watu, mifugo ambayo haisemwi, mazao pamoja na mali nyingine zikipotea kwa...
  11. M

    Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

    Tungekuwa tuna IGP anaejielwa angetosha kuwa anasimamia hili. Sema nao sijui huwa wanadhani ni maagizo kutoka juu, wanaogopa kutumbuliwa. Hapa alikuwa anapiga simu ya upepo kuwaambie waache ujinga wafanye kazi za maana jambo linaisha.
  12. M

    Prof. Janabi na Upepo wa Kisiasa

    Shida ya Janabi anachanganya “causal vs correlation”. Akielewa hapa ataacha ku intimidate wananchi. Utaacha gambe kwa hofu ukose raha 😀.
  13. M

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Tuishi kwa upendo
  14. M

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Alisema ataongea na waandishi punde si punde lakini hadi leo kimya hata huyu lucas ametoweka. Uvunguni huko moto unafukuta.
  15. M

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Habari wana jamvi? Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi. Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu. Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na...
  16. M

    Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

    Tz imekuwa soko la mapombe makali na watu wanaona sifa kupiga gambe. Naunga mkono unywaji wa gambe lakini isiwe kiholela sasa.
  17. M

    Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

    Polisi watamwachia aende zake. Ila awe anawasiliana nao sio kuishia kupost mitandaoni tu 😀
Back
Top Bottom