Hili libabu limeoza akili. Eti linamsukumia zigo DPP, why not magufuli? Mwanakijiji kaoza kichwa baada ya kwanza kushangilia ovyo. Litaendelea kuhamisha magoli hadi litachoka.
Tupo bize tunatembeza bakuli kuchangisha Pesa za maafa. Tulitenga bajeti hewa ya maafa, tetemeko limetuumbua. Tupeni muda tutembeze bakuli. Tukichangisha nyingi tutawaomba wahanga nusu ya Pesa yao tujenge kiwanda ili wafanye kazi wajenge nyumba zao.
Madawati harambee, tetemeko harambee, hata viwanda itakuwa harambee. Eti tra wanakusanya trilioni? Hii ni serikali ya Zimbabwe sio ya Tanzania ninayoijua.
Naona fao LA kujitoa hadi miaka 55 litawekwa kwenye katiba kabisa. Hii mifuko inaidai serikali matrilioni. Haya, poleni watumishi, mna kazi ya kupata mafao yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.