Huu mchezo wa saikolojia ambao makamba hawezi. Majimbo gani hayo??? Tume ina kigugumizi cha kutangaza matokeo hata ya hapo dar??? Isitoshe tume na jeshi la polisi wanatoa kauli gani kwa kura zinazokamatwa kwenye magari ya serikali??? Kura feki zimezagaa mpaka bar, zimetoak wapi???
Ni aibu tupu na kutapatapa manake titanic linazama, katiba wewe hata rangi yake huijui acha hivyo vifungu.. Uteuzi wa makatibu wakuu muda huu nu aibu tupu manake rais ameshaagwa kila kona. Wasiwasi wa nini??
Yaani Mbaha, hizo fedha ni sawa na Mishahara ya Walimu 30 kwa hesabu za haraka haraka. Shule ngapi zina mwalimu mmoja na hata hakuna madawati na mwalimu mwenyewe huyo mmoja hana motisha wowote?.Tunajenga Taifa au tunaandaa "Time Bomb" litakalolipuka huko mbeleni. Ninavyofahamu Mabalozi wa nje...
Mijadala kama hii imepitwa na wakati. Vumbi la kisiasa limeshatulia na maisha yanatakiwa yaendelee. Nakubaliana na Mwanakijiji kwamba hapo ni busara imetumika kuliepusha taifa na vurugu na machafuko ambaye kawaida masikini ndiyo huwa wanaathirika sana kwani hupigania wasichokiweza. Slaa alisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.