Search results

  1. W

    Shampoo bora

    Wanajamvi msaada jinsi ya kutengeneza shampoo
  2. W

    Fursa ya mafunzo ya utengenezaj bidhaa

    jifunze kusuka vikapu,sabuni ya maji na mche kwa vitendo kwa tsh 15000 kwa wakazi wa mbeya. jifunze nasi ujiajiri.
  3. W

    USUS WA VIKAPU

    tunatoa mafunzo ya usus wa vikapu kwa gharama ya sh.15000 tu. Karibu ujifunze nasi popote ulipo mkoa wa mbeya
  4. W

    Mafunzo ya ususi

    Kwa gharama ya 15000 jifunze kushona vikapu uanze biashara yako
  5. W

    Njoo utengeneze nasi sabuni ya mche kwa vitendo mwana mbarali

    Kwa gharama ndogo utajifunz hatua kwa hatua mpaka uelewe.
  6. W

    Ukwaju kwa wahitaji

    Kwa wale wanaohitaji ukwaju Dar ni pm debe 10,000.
  7. W

    Ukwaju unapatikana

    Ukwaju unapatikana kwa tsh 7000 kwa debe Mbeya,bei inazungumzika. Kama unahitaj ni pm
  8. W

    Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya

    Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya. Tafadhali anaefahamu yanapouzwa/kama unauza ni sh.ngapi kwa dumu la lita 20.
  9. W

    Msaada: Kila nikipata pesa linafata tatizo

    Nina bahati ya kupata hela,kila nikizipata linafata tatizo sijawahi fanya kitu cha maana. Msaada tafadhali
  10. W

    Natafuta kazi, niko Mbeya

    Natafuta kazi halali, elimu kidato cha sita, makazi Mbeya, nina ujuzi wa Uandishi
  11. W

    Tengeneza kitotolesho cha kuku mwenyewe

    Mahitaji Boksi, bakuli la maji, bulb, holder na themometer. Jinsi ya kutengeneza Toboa boksi mduara wa kutosha kufit bulb, weka mayai, bakuli la maji kwa ajili ya kutengeneza unyevu na mwisho weka thermometa. Unganisha umeme na kaa nusu saa, hakikisha kipimo chako kinasoma 38c geuza mayai kila...
  12. W

    Bei ya ukwaju

    Hi wana jf,anae fahamu bei ya ukwaju iwe ni kwa debe ama kilo msaada tafadhali.
  13. W

    Bei ya jora za batiki

    Wakuu anaefahamu bei ya jola la kitambaa plan cotton % ya kutengenezea batiki na vinapopatikana
  14. W

    Msaada jinsi ya kutengeneza screen za kuprintia Tisheti/Batiki

    Wakuu, mwenye ujuz jinsi ya kutengeneza local screen za kuchapisha nembo,michoro kwenye nguo kama tshirt/batiki.
  15. W

    Walimu wakimbia shule

    Takriban walimu zaidi ya watano wamesusa wanafunzi katika shule ya Msingi Isenyela, Wilayani Chunya na kujisongeza shule za jirani kwa tuhuma za wazazi kuwatenga walimu. Kisa mzazi alimuweka ndani mwalimu baada ya kumpiga na kumjeruhi mwanae.
Back
Top Bottom