Uchaguzi wa Katibu wa Chadema Rombo umefanyika ukitawaliwa na vurugu kabla ya uchaguzi kati ya makundi yanayopingana vikali kabla ya uchaguzi wa Kura za maoni ndani ya chama. Uchaguzi huu ulitawaliwa na Shamrashamra na mbwebwe za makundi hasimu ambayo pia ni hatari kwa chama.
Joseph Kagambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.