Hilo kundi alilounda na mtandao wake ni hatari sana kwa Uhai wa Chama tena hadi amepanga safu ya Uongozi na sijui kuna siri gani kati yake na Matajiri wa Tarakea akina Maulidi ambao ni mafisadi
Hana tofauti na Zitto.Ni jeuri Haambiliki hata kidogo.Jina la huyo aliyeshinda liliondolewa na kamati kuu baada ya kushinda tena mwaka jana.Uchaguzi umerudiwa amechukua tena fomu kwa ushawishi wa Ben na Kundi lake.Huku ni sawa na kutunishiana msuli si na Selasini tu bali hata na Makao Makuu ya...
Hakuna mwanasiasa mwenye siasa chafu kama huyu kijana. Huu Mtandao anaoujenga labda ashinde kura za maoni vinginevyo utakipasua chama chetu.Siasa chafu zimepigwa tena za kibaguzi.Kura za maoni zisiposimamiwa na Makao Makuu naona watu wakitoana roho kwa mara ya kwanza.
hivi kwanini asiebde jimbo...
Uchaguzi wa Katibu wa Chadema Rombo umefanyika ukitawaliwa na vurugu kabla ya uchaguzi kati ya makundi yanayopingana vikali kabla ya uchaguzi wa Kura za maoni ndani ya chama. Uchaguzi huu ulitawaliwa na Shamrashamra na mbwebwe za makundi hasimu ambayo pia ni hatari kwa chama.
Joseph Kagambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.