Nadhani wachangiaji waliotangulia wapo sahihi tatizo la mvi katika umri mdogo ni sababu za kurihti ( hereditary) ingawa nimewahi kusikia pia kuwa zinasababishwa na ukosefu was virutubisho lakini Mimi sioni kama inaukweli, hiyo labda tupate uthibitisho wa kisayansi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.