Léo tuko hapa
Léo tupo hapa
Sukari iko nyingi
Sukari ipo nyingi
Léo TUKO hapa,tutakunywa sana chai kwa vile Sukari IKO nyingi.
Léo TUPO hapa,tutalewa tutakavyo Sababu Pesa IPO nyingi.
Nadhani IPO na TUPO Ina Sound POA
Tumia IPO na TUPO,ukiwa hapa Tanzania
Tumia TUPO na IKO ukiwa kwa majirani...
Ni Kweli kabisa kumbadili tabia MTU Mzima ww binafsi ni Kazi ngumu kabisa Sababu, tabia ya mtu ni mchanganyiko wa tabia mbalimbali alizozipokea tangia akiwa mdogo kwa kufundishwa,kwa kuona,kwa kurithi,na tabia za kimazingira husika ya MTU alikokulia nk.
Sasa kwa MTU Mmoja pekee,ambae ww...
Mtaka yote hukosa yote,Biblia inasema huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati Mmoja,utampenda Mmoja na mwingine hatopata haki yake msingi.
Mwishowe akasema ya Caisar apewe Caisar na ya Mungu apewe yaliyo yake.Nuru na Giza huwezi kuwa navyo kwa wakati Mmoja.Chagua kimoja.
Maslahi yao hao wapinzani yako kwa WanaNchi,kufikiri kutetea maslahi yao pekee bila wanaNchi huo ni ufinyu wa Fikra.
Kutetea Maslahi Yao pekee bila kuwasemea wanaNchi kupoteza nguvu Zao bure tu..mana nguvu Yao na maslahi yao vyote viko kwa WanaNchi.So kujitenga na wanaNchi ni kujitenga wao wenyewe.
Kwakweli naungana na WW kwenye hili,Wapinzani wamekuwa DHAIFU SANA kiasi Cha kuwa na shaka ya Kulambishwa Asali Ili wakae Kimya.
Ukimya wao ni kama CCM inafanya KAZI nzuri sana na inatekeleza Na kutatua changamoto za maisha ya watanzania kwa asilimia mia moja.Kumbe ni kinyume chake.
Watanzania...
Kama Mawazo Yao yamefika kikomo na hawana Msaada tena,ndio maana nikasema bora wasiwepo wabaki CCM pekee tujue hakuna wapinzani kuliko kujifariji wapo Ili hali ni wafu
Nilikuwa siamini Ile kauli ya Vyama vya Upinzani kulambishwa Asali Ili wakae Kimya, lakini kwa namna mambo yanavyoenda naamini kabisa kuwa Wamelamba.
Haiwezekani Umeme ukatike hovyo hovyo bila sababu za msingi,yaani wanakata kata tu wanavyojisikia.Mwanzoni walikuwa wanasema Maji yamepungua...
Rahisi tu mbona,hakuna MTU asiependa Fedha,kwa watoto Zawadi..Nunua Kila kitabu atakachomaliza kusoma kwa makubaliano ya pesa fulani or kumpatia Zawadi ambayo unamuahidi kuwa endapo atamaliza kusoma basi utampatia..
Hiyo ni baada ya kukueleza NN alichosoma na ameelewa NN Ktk hicho kitabu,n'a...
Uchawi upo kwenye NN tu??kama kwenye soka haupo basi hâta kwenye mambo mengine pia haupo.. Reasons zinazotumika kwenye mambo mengine Ili kutumia Uchawi ndio hizo hizo zinazotumika kwenye Soka
Peleka huko Mikwara yako Mbuzi,hii Nchi ni huru inayoongozwa kwa kufuata Katiba Sheria n'a kanuni zake.
Haiongozwi kwa kufuata Biblia Wala maagizo yeyote kutoka popote pale duniani.Ina viongozi makini wanaojua NN Cha kufanya na wakati Gani.
Hiyo mihemko Yako ya kidini ipeleke huko mnakokutana...
Mpe Antibiotique tu atakuwa Sawa, Mwanangu pia ameXeperience hilo tatizo..Ila kabla hujampa Antibiotique mpe dawa za minyoo kwanza kama amepitisha miezi mitatu bila kunywa.
Kuja kuomba tu Ushauri kwa hili inadhihirisha there is something wrong upstairs,huwezi kuwa Okay then ukaja na hoja za kipumbavu kama hii..
Enewei,it's your birthday,you gonna party it!
Hivi kwani Kikwete alikufir@mba au??mbona una ghadhabu nae sana??Nenda ustawi WA jamii or kwenye vyombo vya sheria ukashtaki sio kukaa dukuduku moyoni..maana Kila siku Kikwete hivi Mara Kikwete vile as if Umeachika huku ukiwa unampenda..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.