Habari zenu wanajamii wa foram hii! naomba mnisaidie kujua msingi mkuu wa madaraka/nguvu ya Bunge.Kwa uelewa wangu napata majibu mengi kwa mfano
1 Katiba. Hii ndio inatamka kwamba kutakuwa na Bunge/hivyo kwa ninavyoelewa Katiba ndio chanzo kikuu cha Madaraka ya Bunge.
2 Wananchi. Maana hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.