Search results

  1. ank

    TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

    Pumzika kwa amani mtu wa watu, tutazikumbuka kazi zako nyingi na mema uliyotufanyia Watanzania! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. ank

    Chuo Kikuu cha Iringa chamtunuku Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Nishani ya Heshima kwa kuanzisha Vyuo Vikuu binafsi nchini wakati wa utawala wake

    Mipango mizuri, udahili utapanda na chuo kitatanuka, wigo was utoaji was taaluma mbalimbali utaongezeka, wabia watapatikana. Bodi ya wadhamini iendelee kufanya hivi, vinginevyo vyuo binafsi vitakufa kwani ushindani na vyuo vya unma ni mkali see baada ya maboresho tunayoyaona!
  3. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    NAWASHUKURU SANA TANESCO KWA USIKIVU WENU NA ZAIDI KWA KUSHUGHULIKIA KWA WAKATI CHANGAMOTO ZETU WATEJA WENU HASA ZILE TUNAZOZIAINISHA KUPITIA UKURASA HUU. WIKI MBILI ZILIZOPITA NILILETA LALAMIKO LANGU LA KUCHELEWESHEWA HUDUMA YA KUUNGANISHIWA UMEME KWA ZAIDI YA MIEZI MINNE(more than 60 working...
  4. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hongera sana mkuu mbavu mbili. Mimi wa: Malipo yamepokelewa kwenda Tanzania Electric Supply Company Limited Ankara Na: 991030225197 Kiasi: 515617.52 TZS Risiti Na: 99003454909 Tarehe: 2018-06-29T17:02:43 Kupitia:EC100204944699 NITASUBIRI SANA!
  5. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hadi leo nipo gizani, Iringa manispaa!
  6. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naungana na wewe, kwangu pia. Hawa watu bana: Malipo yamepokelewa kwenda Tanzania Electric Supply Company Limited Ankara Na: 991030225197 Kiasi: 515617.52 TZS Risiti Na: 99003454909 Tarehe: 2018-06-29T17:02:43 Kupitia:EC100204944699
  7. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Bora yako ndugu, mimi ni mwezi wa nne huu hawajafika kuunga!
  8. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Fuatilia kwa meneja Iringa mkuu, haya ni malalamiko yangu, lakini nakuhakikishia tupo wengi kwenye list yake!
  9. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Uhaba wa nguzo ndiyo sababu tunayopewa huku Iringa ya kucheleweshewa huduma, nguzo 1 tu, mteja utasubiri zaidi ya miezi 3, yaani zaidi ya siku zao 60 za jazi.Hii ni kutengeneza mazingira ya rushwa.
  10. ank

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kuunganishiwa huduma ya umeme, malipo yalifanyika Juni 2016, mahitaji ni pomoja na nguzo moja. Hivi hadi miezi minne au zaidi ndo nipate huduma? Nipo Iringa manispaa!
  11. ank

    Mlima Kilimanjaro kama ulivyoonekana leo asubuhi

    Hongera kwa kazi nzuri
  12. ank

    Waziri Lukuvi ashiriki zoezi la kuvunja nyumba yake iliyojengwa kwenye hifadhi ya barabara

    Barabara ya Iringa-Ruaha ni moja kati ya barabara muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi, zaidi kupitia utalii na imekuwa kikwazo kikubwa sana kwa Ruaha National Park kuingiza fedha za kutosha kwa hadhi yake. Mh. Lukuvi ni Mbunge wa jimbo la Isimani, kwa mtazamo wangu huenda amefanya hivyo kuvuta...
  13. ank

    Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

    Nia ya serikali ni nzuri sana, pongezi; lakini wizara hii itatumia fedha zaidi ya 100% ya bajeti yake na matokeo yake ni baadhi ya wizara kukosa fedha na huduma nyingi za kijamii kuzorota. Ni bora kwenda taratibu lakini kwa usahihi na siku zote, "polepole ndio mwendo, haraka haraka haina baraka...
  14. ank

    Reli ya Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha imeanza kujengwa; Dec, 2018 kuanza kazi rasmi, Kenya kuathirika

    Pongezi nyingi kwa mipango mizuri kwa maendeleo endelevu.
  15. ank

    Magufuli alipunguza mishahara mikubwa ili wagawiwe wenye mishahara midogo?

    Ni kauli kutoka bungeni, July si mbali, vuteni subira Watumishi. Baada ya July turudi hapa kusema ya moyoni.
  16. ank

    Ugandan Traders Turn to Dar Port As Kenya Polls Close in

    Dar port, one of a few ecomonic busters for Tz, not to ignore mining and tourism sectors. The way I see, this Government's main agendas sticks at these "BIG THREE", which is a very important move for Tz economy.
  17. ank

    Reli ya Standard Gauge kutoka Dar-Mwanza kuanza kujengwa Disemba, 2016

    Reli ni bora zaidi kuliko usafirishaji kwa njia ya barabara lakini kwa wenye kampuni za usafirishaji kwa malori wajipange maana miaka mitatu si mbali. Waliokopa sijui watafanyaje kurejesha mikopo maana miziko mingi itaenda kwa reli zetu kuokoa barabara zetu.
Back
Top Bottom